Nimenunua electric generator ndogo, wahuni wanaweza kuzima Tanesco yao

Nimenunua electric generator ndogo, wahuni wanaweza kuzima Tanesco yao

Mtu mmoja anawahenyesha kwelikweli! Je wakiwa wengi si watakimbia madaraka yao?
 
Vizuri sana kuwa na alternative, ila wasiwasi wangu asipo tokea leo? Au akatokea saa 10 kasoro alfajiri ya kesho?
 
Vizuri sana kuwa na alternative, ila wasiwasi wangu asipo tokea leo? Au akatokea saa 10 kasoro alfajiri ya kesho?
hapo sasa..... kuna watu wako bar, wanaodoka late hrs..make contacts with them....to notify you when Polepole is on air
 
Back
Top Bottom