Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Jamani wana JF leo nimefurahi sana kupata Modem mpya ambayo inarahisisha mambo yangu pamoja na biashara zangu. Sasa Internet kwangu ipo faster kuliko ilivyokuwa mwanzo baada ya kubadilisha Adsl Router kwani hata Wireless yangu ipo faster pia na range yake pia imeongezeka baada ya kui-configer.
Halahala wa JF Jioni njema
Halahala wa JF Jioni njema