Gobo Waukweli
Member
- Jul 26, 2016
- 16
- 11
Mwanamke mmoja ametokea kunogewa na mapenzi ya baba yake mzazi baada ya mamake kusafiri kidogo na mwanamke amesema kuwa baba yake ndiye mwanaume anayemfaa katika maisha kwasababu yeye ndiye mwanaume wa Kwanza kumkuna ipasavyo tangu azaliwe. Na yuko tayari kugombana na mama yake mzazi ili mpate baba yake mzazi kama mpenzi wake maishani mwake.