Nimenogewa na mapenzi ya baba 100%

Nimenogewa na mapenzi ya baba 100%

Mwanamke mmoja ametokea kunogewa na mapenzi ya baba yake mzazi baada ya mamake kusafiri kidogo na mwanamke amesema kuwa baba yake ndiye mwanaume anayemfaa katika maisha kwasababu yeye ndiye mwanaume wa Kwanza kumkuna ipasavyo tangu azaliwe. Na yuko tayari kugombana na mama yake mzazi ili mpate baba yake mzazi kama mpenzi wake maishani mwake.

Huyo ni baba yake wa kambo au baba yake mzazi kama baba yake mzazi hii ni laana kubwa sana
 
Ukija kuchunguza vizuri utakuta huyo binti sio mtoto wa huyo baba..
 
Mmmh, that's abomination Mgirik. Unaanzaje kumtamani binti yako!!!
Binadamu wamekuwa wanyama, tena afadhali ya mnyama utasema hana akili..

Ni matukio mengi kwa sasa tunayaskia kwenye media ya namna hii mtani.
Ila huenda na ushirikina unachangia, mtu anaambiwa ili apate mali sharti ahusiane na bintiye kimapenzi.

Ndipo dunia ilipofikia..
 
Mwanamke mmoja ametokea kunogewa na mapenzi ya baba yake mzazi baada ya mamake kusafiri kidogo na mwanamke amesema kuwa baba yake ndiye mwanaume anayemfaa katika maisha kwasababu yeye ndiye mwanaume wa Kwanza kumkuna ipasavyo tangu azaliwe. Na yuko tayari kugombana na mama yake mzazi ili mpate baba yake mzazi kama mpenzi wake maishani mwake.

Badili heading iwe Anogewa na penzi la baba yake....
 
Binadamu wamekuwa wanyama, tena afadhali ya mnyama utasema hana akili..

Ni matukio mengi kwa sasa tunayaskia kwenye media ya namna hii mtani.
Ila huenda na ushirikina unachangia, mtu anaambiwa ili apate mali sharti ahusiane na bintiye kimapenzi.

Ndipo dunia ilipofikia..
Acha tu lakn kiukweli kuna sababu ambazo zinapelekea watu kufanya hayo..
. ushirikina
. kuwa mtoto Wa kambo..
Katika hali ya kawaida huwezi kushirikiana kimapenzi na mtoto wako Wa kumzaa au hata ndg yako Wa damu
 
Kesi za chumbani aisee sidhani kama zinatuhusu sisi hahaha,is to she watoto wa siku hizi walivyo mpaka unaona aibu kumuita binti yako!
 
Vitendo vya akina baba kuwakula watoto zao vimeshika kasi sana kwa sasa.Hatuskii wamam wakikazwa na watoto zao,ila why wababa wanawakaza watoto zao?
Eeh...umetumia neno la kizamani kweli
 
Back
Top Bottom