hahahaahaah nimesahau majambazi walipotuvamia walitutoa za mbagala,walianza na wewe wakamalizia na mimi:rain:
Cku nyingi!! dah mpk leo unakumbuka ila umesahau kidogo mimi cku hiyo majambaz walivyokuingilia mi nilikua nimesafiri ....km y huko pachafu(mbagala) imeshatolewa njoo bac nikutoe hiyo nyingine
Na zimishapanda bei...jaza Chibuku kwenye jokofi...Mbona bia zangu zimeisha kwenye friji nani kazinywa
Great Thinkers at work!:rain:
Kwan bk ipi mnazungumzia ile ya sumni au ila y kawaida?
Hiyo avatar yako kila nikiiona nahisi joto linaongezeka. Sijui kwa nini!!!!!
heshima kitu cha bure:hand:
Mweh? Jamanii??
Mimi nilitolewa macho.
Nakuonea wivu wewe uliyetolewa meno.
Mimi nilitolewa macho.
Nakuonea wivu wewe uliyetolewa meno.
Mkuu ile experince sio mchezo... mnaanza kama utani baadae inakuwa kama vita mkuu.... mmoja alining'ata titi la kulia mpaka leo nina alama... mwingine ndo akataka kung'oa kengele zangu kabisa!!!