Nimenasa!

Maji yakimwagika hayazoleki wewe komaa na huyo huyo maana kama kulala nae daily umeshalala unataka nini tena na ukute hata girl wako nae amechukua mtu mwingine maana kwa vyovyote zile simu za usiku za kufanya monitoring au za niamshe saa 11 hakwambii ndio maana ukazamia huko kila siku.
 
kwani wakati mnaanza mlikubaliana chochote? maana naona mlipiga story mkagegedana, na kabla yake wewe huna mtu maalumu? maana inaonekana unatumia kifanyio chako kwa kila mtu.

Thts the gud thng...we never agreed on anythng ispokua namuona mwenzang anazidiwa...pia sina mtu kwa maana ya gf....niko na-hang tu kijana mm
 
Kaizer na Asprin hawa vijana wanaitaji kufundwa aisee...wewe hukuwahi kufundishwa kuwa "Usile kuku wa jirani"!?????

HATA kibaka anakushinda yani...kamwe haibi kwao!

Sa iz ndo nimeona inakua na maana...i never thout ingekua mbaya iv....
 
Last edited by a moderator:

hii ni kwa mujibu wa torati ipi?
 

Siku hizi watu ni wazembe hata kutumia akili zao kwa mambo ya ndani. Hili nalo la kuleta JF kuomba msaada?

Acha utoto wewe, si uhame hapo ukapange kwingine! Inaelekea kwa uzembe wako huu unapenda dezo sana wewe.
 
 
Siku hizi watu ni wazembe hata kutumia akili zao kwa mambo ya ndani. Hili nalo la kuleta JF kuomba msaada?

Acha utoto wewe, si uhame hapo ukapange kwingine! Inaelekea kwa uzembe wako huu unapenda dezo sana wewe.

Sanaaaa...i wish kila kitu kingekua dezo
 
kimzaazaa unashangaa unalioa hilo goma bila kupenda...
 
si umtombee tu nawewe afu mwambie sio mtamu unachapa lapa
 
Thts the gud thng...we never agreed on anythng ispokua namuona mwenzang anazidiwa...pia sina mtu kwa maana ya gf....niko na-hang tu kijana mm

basi kula ujana kijana wangu, ila kubalianeni juu ya mfumo wa mapenzi yenu, kama alivyokushauri mtoto wa kichaga, a.k.a miss chaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…