Nimenasa kwa mchina

jiran ubaguz huo kwahyo sisi wanene tuna nn???
 
Hata mimi nashangaa mtoa mada hajaongelea hilo. Na sio barid tu. Wale watu ni wadunchu kila kitu. Yani ni viduchu hadi raha. Daaah nimemiss sana nilipokua Japan chuo
jamani kumbe ulienjoy eeeh? niadisie
 
Mkuu mchina hajakupenda wala nn anazuga ili umuoe apate uraia na kufanya shughuli zake za kiuchumi bila bughudha maana atakuwa sana na watz kwa hiyo ww ni kama kinga yake tu, wachina sio watu wa kispotispoti unavyowafikiria ww
Wachina mbona watu Poa tu. Tunaishi nao.tunafanya nao Zinaa Sana tu na chakula wanatupikia, tunafanya nao Kazi hapa Canada.. Ni watu Poa.. Ukiwa mtu Wa kispoti spoti huo ni udhaifu... Wachina Poa Sana. Labda wakiwa huko Bongo wanawachezeeni
 
Chukua mzigo jumla jumla kamanda... Mpende akupendae... Remember this. Wachapa Kazi Hao.. Onyo... Ila ukiwa naye mambo Ya mchepuko sahau lasivyo utajikuta ktk matatizo makubwa
 
Nakubaliana na Wewe Mkuu 100%. Mambo Ya nyumba ndogo na mchepuko asahau
 
Mwanao atakuka kukulaumu kwa kumsababishia kutokuwa na chura.
 
Kama humtaki si umbwage tu? Kichapo utakivumilia tu na maumivu yataisha na hata ukitenguliwa bega utatibiwa utapona tu.
 
Kwani ana mimba? Halafu mbona nasikia wachina hawataki mwenzao kufunga ndoa na mtu mweusi? Imekuwaje kuna mabadiliko? Mwisho una hakika kawaambia wenzake au mkwara tu?
Wengine huwa wanataka uhusiano for strategic reasons, inawezekana ame-eye fursa mahali na itakuwa rahisi kuitap akiwa na partner wa kibongo.
 
TCRA wame approve ni original usije kuta umeshalipa na mahari then unagundua ni mchina fake na network imekata.
 
Kwani ana mimba? Halafu mbona nasikia wachina hawataki mwenzao kufunga ndoa na mtu mweusi? Imekuwaje kuna mabadiliko? Mwisho una hakika kawaambia wenzake au mkwara tu?

Mkuu hii stori ya kutunga tu, mwanzo mpaka mwisho - stori ya kweli uonekana wazi wazi.
 
bado hujamfikia shigongo kwa utunzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…