Nimemwachia mali zote, naanza upya

Sometimes kuanza upya is the best option to move forward to the best,najua mpaka umefikia uamuzi huu umekutana na mengi na makubwa ambayo wewe kwa nafsi yako umeona huwez kuvumilia(BORA NUSU SHARI).
Mwanamke anaekupenda na kukuheshimu hawez kukuita MJINGA/MPUMBAFU pia ogopa sana kuishi na mtu ambaye hakumbuki fadhira na kukupa heshima yako.
Naunga mkono uamuzi wako anza upya kuna kitu kizuri kipo mbele ya safari yako mpya(HUSTLE ,BELIEVE AND LIVE).
 
Ww muache aondoke mwanamke ukiomba mzigo ni kama unamnyanyasa anakuambia "humu ndani mimi ni kama natumika, ipo siku utakuta sipo" hii kauli ya "kukuta Sipo" Anairudia mara nyingi, nikamjibu kama hicho ndo unachotaka "ondoka upate Amani"

Mtu kununa kila siku, unamuuliza ili ujue kinachomsibu.... anajibu '' nina mambo yangu yananivuruga we lala tu'' ukifosi kumuuliza zaidi hapo anaweza kuhama hata chumba

Huyu ni mke wangu nina mtoto nae mmoja
Sijawahi kufosi mechi, kupika wala kumlazimisha kufua nguo

Nimeona bora tumalize ila sikupenda hili litokee
 
Doh, pole Sana aisee. Wanawake ifikie mahali tubadilike kdg. Hii haki sawa hii itatuponza...

Kusikiliza mashoga watoe ushauri wa ndoa yangu, hapana kwa kweli. Khaaaa!!!!
Cha ajabu hao makungwi wa haki sawa karibia 80% hawana ndoa zaidi ya Ke wasio na dira yoyote kuhusu familia.

Ndiyo utegemee wawatakie mema wanandoa walioenda kusuluhishwa kwao
 
Pole sana haya mambo yako sana utakuta mtu amesomeshwa,au ametafutiwa kazi na mume wake na anahudumiwa kila kitu baadae anaanza kusikiliza mashost au baadhi ya ndugu afu tatizo hawajui hao mashost wanatamani kuingia Kwenye ndoa ndio hivo hawajabahatika ukiachika wanafurah kimoyo moyo!
 
Why umuachie malii???? Huyo ni wa kufukuzaa akajifunzeee namna ya kuishi na mwanaumeee... ingekuwa nyumba ya kupanga sawaaa ila sio nyumba ya kujenga umzirie mwanamke..
Ukisema wewe mi naweka tiki tuuu😂
 
Ndugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"

Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.

Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!

In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia at El. Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!

Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.

Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.

Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.

Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".

Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.

Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?

Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"

Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.

Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.

Ma-feminist WATAWAUAAAA.

Nimemaliza.

Mwenye sikio na asikie.

#YNWA
Kama hajaelewa ndo basi tena😃
 
Ww muache aondoke mwanamke ukiomba mzigo ni kama unamnyanyasa anakuambia "humu ndani mimi ni kama natumika, ipo siku utakuta sipo" hii kauli ya "kukuta Sipo" Anairudia mara nyingi, nikamjibu kama hicho ndo unachotaka "ondoka upate Amani"

Mtu kununa kila siku, unamuuliza li ujue kinamsibu anajibu ana mambo yake yana mvuruga hainihusu

Huyu ni mke wangu nina mtoto nae mmoja
Sijawahi kufosi mechi, kupika wala kumlazimisha kufua nguo

Nimeona bora tumalize ila sikupenda hili litokee
Hii nayo lazima ni story kubwa yenye funzo pia...
 
Glass ya maji haina uzito kama utaibeba kwa mda mchache ila ukiibeba hiyo hiyo glass kwa masaa kadhaa bila kuiweka chini mkono utaanza kuuma

Ukiendelea kuibeba mkono utaanza kufa ganzi
Dawa ni kuweka chini glass
Haya matatizo usiyabebe sana unayatua na kuendelea na maisha mengine
 
Why umuachie malii???? Huyo ni wa kufukuzaa akajifunzeee namna ya kuishi na mwanaumeee... ingekuwa nyumba ya kupanga sawaaa ila sio nyumba ya kujenga umzirie mwanamke..
Kama ni mali zinatafutwa bwana. Sishauri watu kuachana ila kama mahusiano yanaathiri afya yako ni bora kuachana. Mimi mwaka 2015 niliondoka kwenye ndoa ya miaka 5 nikaacha kila kitu na kuanza upya.
 
Mkuu unafanya makosa makubwa ssana.

1. Kwa nini unaoa na huna backup. Huna mchepuko hata mwenye kakibanda mahali, usingekuwa unakosa papuchi.
 
Yaani... Alikuwa demu wangu wa kwanza kabisa ..nilimpenda na nampenda sana ..anajua hilo... Ndio nikasema to make story short .. nafaulu form four 2003 .. yeye anafeli .... miaka 9 mbele namkuta nilipoajiliwa ... Nikamsaidia kuajiliwa kama mhudumu na nikamsaidia kusoma maana nilimpenda sana.. daaah .... Na nikafunga naye ndoa 2016...... hamjui tu maumivu ...nimeomba uhamisho niondoke kabisa hili eneo....
Pole na mwenyezi mungu akutia nguvu wanawake hawa watatuua maana wanaibua jipya jipe moyo utashinda na jaribu linapita
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Njoo pm nikushauli kitu usipaniki mungu akutia nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom