Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
Nimemuona Comrade Kinana kwenye mkutano mkuu wa RPF wa kumpitisha mgombea wao wa URAIS,ambaye ni Mhe Paulo Kagame....amepita kwa kura nyingi tena kupeperusha bendera ya chama chake katika kugombea nafasi ya Kuiongoza Rwanda tena.
Hongera Comrade Kinana umetoa hotuba nzuri sana iliojaa maneno ya busara na yenye kujenga kati ya mataifa yetu mawili,hakika chama cha mapinduzi bado kina hazina ya viongozi walio bora,nawashauri wana Chadema chukueni nafasi ya kujifunza na kukua, badala ya kuendelea kubishana na kupiga porojo sisizo na tija,muungane na chama cha mapinduzi kuleta maendeleo katika nchi ya Tanzania.
Hongera Comrade Kinana umetoa hotuba nzuri sana iliojaa maneno ya busara na yenye kujenga kati ya mataifa yetu mawili,hakika chama cha mapinduzi bado kina hazina ya viongozi walio bora,nawashauri wana Chadema chukueni nafasi ya kujifunza na kukua, badala ya kuendelea kubishana na kupiga porojo sisizo na tija,muungane na chama cha mapinduzi kuleta maendeleo katika nchi ya Tanzania.