RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Makamu mwenyekiti wa CCM ameeleza kwamba makada wa chama cha mapinduzi wasidhalilishe watendaji wa serikali hiyo inamaana kuwa kitendo anachofanya Paul makonda nikinyime na taratibu katika kuwakumbusha watendaji wa serikali wajibu wao.
Mimi naweza kusema kwamba Paul makonda hadhalilishi viongozi wa serikali Bali anawakumbusha wajibu wao kuhudumia umma unaoongozwa na chama cha mapinduzi.
NI ngumu Sana mwenezi kueneza chama sehemu ambayo ina Kero lukuki gunajiuliza sasa kama kuna kero lukuki mwenezi ataeneza nini.
Raisi Samia amuangalie Sana kinana kwa jicho la Tatu anaweza kuwa hayuko nae katika kazi ya kutumikia wananchi na pia ajue kuwa kuwa nafasi ya juu katika uongozi wa chama yeye NI kiungo mhimu wa kuweza kuelekeza watendaji hao kufanya kazi kwani ccm ndiyo chama kinachoongoza serikali kwa Dira waliojiwekea wao ya kutekeleza mambo mabalimbali yanayohusu maendeleo kwa wananchi.
Wasipoambiwa watendaji hao Nani atawaambia ! Mzee kinana unalengo gani na mama nini maana ya Kuwaita mawaziri mizigo katika serikali ya awamu ya nne.
Nimalizie kwa kusema watendaji wa serikali wanakumbushwa wajibu wao na si kuwadhalilisha kama mzee kinana anavyisema mtu kama mwenezi hawezi kuwa mtalii huku kuna kero mbalimbali labda kama mnataka awe kama mjema akae kimya.
Mimi naweza kusema kwamba Paul makonda hadhalilishi viongozi wa serikali Bali anawakumbusha wajibu wao kuhudumia umma unaoongozwa na chama cha mapinduzi.
NI ngumu Sana mwenezi kueneza chama sehemu ambayo ina Kero lukuki gunajiuliza sasa kama kuna kero lukuki mwenezi ataeneza nini.
Raisi Samia amuangalie Sana kinana kwa jicho la Tatu anaweza kuwa hayuko nae katika kazi ya kutumikia wananchi na pia ajue kuwa kuwa nafasi ya juu katika uongozi wa chama yeye NI kiungo mhimu wa kuweza kuelekeza watendaji hao kufanya kazi kwani ccm ndiyo chama kinachoongoza serikali kwa Dira waliojiwekea wao ya kutekeleza mambo mabalimbali yanayohusu maendeleo kwa wananchi.
Wasipoambiwa watendaji hao Nani atawaambia ! Mzee kinana unalengo gani na mama nini maana ya Kuwaita mawaziri mizigo katika serikali ya awamu ya nne.
Nimalizie kwa kusema watendaji wa serikali wanakumbushwa wajibu wao na si kuwadhalilisha kama mzee kinana anavyisema mtu kama mwenezi hawezi kuwa mtalii huku kuna kero mbalimbali labda kama mnataka awe kama mjema akae kimya.