Nimemuita baba swalehe amenuna

Nimemuita baba swalehe amenuna

Duuh..We haufai hata kuwa housegirl..Yani kwenye sauti 21 unayo moja tu
Ha haa sauti yenyewe ilivo na mikwaruzokwaruzo kama mbeba zege hizo 20 nizitoea wapi mie. Moja yanitosha ya kijeshijeshi tena
 
umetumia jina la Le Baharia bila ridhaa yake....ngoja aje hapa!
 
Ha haa sauti yenyewe ilivo na mikwaruzokwaruzo kama mbeba zege hizo 20 nizitoea wapi mie. Moja yanitosha ya kijeshijeshi tena
Teh teh..Ila kama ndo hiyo uwa unaitumia kumbembeleza baby wako akatoa mtonyo sio mbaya
 
Aaaahhh jamani huyu mzazi mwenzangu kila ukiomba pesa yeye hana ila kila siku anakunywa sasa leo nimemuandikia message "baba swalehe vip tena leo huna pesa" amenuna wakati jina hilo na wimbo huo unaendana haswaaa na yeye mwenyewe.
Shosti siunajua wanaume anataka utumie maneno matamu na laini hata kama hana ataenda kukopa..
 
Back
Top Bottom