123Kape
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 463
- 105
Hivi mtu mwenye akili timamu aliyelelewa kifamilia asiyevuta bangi anaweza akapata muda wa kusikiliza matakataka yaliyoimbwa na wahuni wavuta bangi yanayoitwa anti virus.
wewe ni mbumbumbu sana wewe bangi unaichukuliaje hata bob marley kavuta,hata obama kavuta,hata bush kavuta,osama kavuta hata na hata riz1 bwana ako anavuta.
tuache hayo antivirus haijasikilizwa na mashoga tuu!vp wewe hujaisikia?
hii anti virus ndio iliyowatoa jasho wewe na mabwana zako mkahofia show zenu kwenda chini kimapato nakudharaulika