2010 Dr Slaa si aliibiwa kura?
2015 Lowassa si aliibiwa kura?
Mara zote hizo waliingia Bungeni.
Kwanini safari hii formula ibadilike kwa kuwa tu Wanaume wote hawatakuwa wabunge?
2015 Lowassa si aliibiwa kura?
Mara zote hizo waliingia Bungeni.
Kwanini safari hii formula ibadilike kwa kuwa tu Wanaume wote hawatakuwa wabunge?
Ajabu kuwa huyu ni mwanasheria lakini alishau kabisa jambo muhimu la kumshitumu mtu - ushahidi. Huyu bibi alisema ameona kwa macho yake karatasi feki za kara katika jimbo lake. Lakini akiwa kama mwanasheria alishindwa kuwashirikisha askari au kuchukuwa ushahidi na kuufikisha kwa NEC, polisi au hata mahakamani. Ajabu sana hakuja na picha au clip zake yeye binafspamoja na hizo karatasi, hakuja na majina ya watu waliokuwepo huko alikozikuta hizo karatasi feki ila alikuja ma neno tu. Halafu sasa anageuka na kukubali kufanya kazi na wale wale aliowaita wezi.