Nimemuachia bill mchunaji

Nimemuachia bill mchunaji

Gor

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,791
Reaction score
850
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.

Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
 
Kuku mzima tena dem, mi ningewasema wazi wazi mmekuja kunikomoa au.
 
Hahahahaha!!! Shauri yako mkono mtupu haulambwi watoto wazuri utawala Kwa macho....
 
..jana nimetoka nduki na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bila kunishirikisha......

Hii kitu ya mademu kuzuka eneo la tukio na mashosti zake inakera sana. Ni kama kukomoana vile. Wengine hata hawajitambui....wanadhani labda ni sifa kuwaleta rafiki zao wale na kunywa ili kumuona yeye kapata bwana wa maana. Ujinga mtupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom