Nimemtumia nauli, sijui atakuja?

Nimemtumia nauli, sijui atakuja?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,338
Reaction score
56,039
Nipo hapa napata kahawa nzito na kashata huku nikimsubiri mgeni wangu, aliyeomba nimtumie nauli tangu jana.

Ndani hakukaliki kabisa, nikikaa kwenye kiti najikuta nataka kusimama, mara nitoke nje nichungulie n.k Ama kweli, mahusiano yanaweza kumfanya mtu kuwa kichaa.​
 
Bro hawa watu sio. kumbe alikuwa anakuja kwako nimekutana nae akaniambia anaenda kwa dadake sasa hivi yupo hapa kwangu jikon anaanda madikodiko twendelee na mechi bro. Labda uniambie ulimtumia sh ngapi nikurudishie mimi. Ila na wewe umefeli ndugu cku hizi nauli hazitumwi
 
Bro hawa watu sio. kumbe alikuwa anakuja kwako nimekutana nae akaniambia anaenda kwa dadake sasa hivi yupo hapa kwangu jikon anaanda madikodiko twendelee na mechi bro. Labda uniambie ulimtumia sh ngapi nikurudishie mimi. Ila na wewe umefeli ndugu cku hizi nauli hazitumwi
Inategemea na aina ya sampo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom