Nimemtukana Baba Mkwe kimakosa: Natamani kukimbia mkoa, nimechanganyikiwa

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Jul 21, 2022
4,693
10,213
Ukisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.

Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.

Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!

Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!

Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!

Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!

Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?

Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!

Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!

Komwe limenishuka shuuuuu!
 
Mi na baba mkwe huku sherehe tu
 

Attachments

  • Screenshot_20231102_014021_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20231102_014021_WhatsAppBusiness.jpg
    6.8 KB · Views: 5
Ukisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.

Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.

Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!

Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!

Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!

Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!

Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?

Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!

Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!

Komwe limenishuka shuuuuu!


Moumbavu kama Baba Mkwe wako, tusi lipo wapi hapo? Si miss spelling, sema tu unapenda hilo neno ndo maana simu yako ikajua bado unaandoka upumbavu uliozoea, jiue tu
 
We wa kike ama mtoa kisoda?​
Hayo mambo unamfafanulia tu kiume nilikosea kuandika typing error full stop.​
Ujeda wake si kwao huko,kwani anakugawia mshahara.​
Na akibisha kesho binti yake atamfata.​
We vipi​
 
Ukisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.

Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.

Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!

Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!

Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!

Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!

Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?

Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!

Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!

Komwe limenishuka shuuuuu!
Vijana wa CCM kwa kweli inabidi kama wazee wa taifa tukae chini ili tuhakikishe Tanzania ijayo hatutaiacha kwenu mkiwa hivi.
Mnatia kinyaa.
 
Ukisikia kuyabananga, basi mie komwe sio tu nimeyabananga, nimeyavaa jumla jumla. Nimeboronga, nimekanyaga divi bichi.

Baba mkwe wangu ni mwanajeshi, ana nyota nyingi begani, jitu jeusi, refu, linatisha na lina matuta usoni kama Mizengo Pinda.

Alikuja nyumbani kwangu kwenye sherehe ya kipaimara ya mjukuu wake. Kwa kweli amejua kufukia msosi, kaaah!! Amebugia mawali mpaka nikakimbia chumbani kujificha kwa muda nikawa namchungulia kwenye pazia!

Alipomaliza kula, akatuaga akaondoka. Baada ya masaa kadhaa, nikamuandikia ujumbe kumjulia hali yake ya safari!! LA HAULAAAH! Najutraaa!

Meseji ilipoenda, nikaona anapiga simu na kukata, nikajiuliza, Baba mkwe weraaah ayuuu!

Nikafungua meseji niliyomtumia kuhakikisha kama imefika, tobaaa weeee!!! Kumbe nimeandika madudu matupu, sijui nilikuwa nimelewa soda ya kipaimara komwe miee!

Meseji niliyoituma inasema "Baba Mkwe umefiRa salama?", badala ya Baba Mkwe UmefiKa salama?

Nimeizima simu ghafla, nikachukua panado nikameza, nikapiga goti nikasali rozari takatifu!

Naombeni mnifariji, sijui nifanye nini hapa! Msaada tafadhali, nimeyavaa, nimeyabananga!

Komwe limenishuka shuuuuu!
Afu pia hamnaga vipaimara mwezi wa pili.
 
Back
Top Bottom