Wakuu heshima mbele.
Kuna msichana nilikutana nae mjini, nikampenda, nikamtongoza na akanipa namba ya simu.
Nilichat nae mara mbili tatu ivi na baada ya kuona haonyeshi kunipenda, nikampotezea, japo pia majukumu ya kazi yalinifanya nimsahau kwa muda.
Ikapita miezi michache, nikaja kukutana nae tena mjini, bila ya kumjua, nilimtongoza, ila yeye alikumbuka nilishawahi kumtongoza. Alinipa namba ya simu, nakatika kuingiza, jina lika-display.
Kiukweli huyu msichana sikumkumbuka kabisa, baadae nilikuja kumkumbuka. Nikaendelea kuchati nae.
Tatizo huyo msichana haniamini kabisa na amesema hatakuja kuniamini, anajua mi ni malaya ka Feruz kwenye ule wimbo wa Starehe.
Naombeni maujanja yenu nifanyaje ajue mi sio malaya? Mi nampenda kiukweli.
Kuna msichana nilikutana nae mjini, nikampenda, nikamtongoza na akanipa namba ya simu.
Nilichat nae mara mbili tatu ivi na baada ya kuona haonyeshi kunipenda, nikampotezea, japo pia majukumu ya kazi yalinifanya nimsahau kwa muda.
Ikapita miezi michache, nikaja kukutana nae tena mjini, bila ya kumjua, nilimtongoza, ila yeye alikumbuka nilishawahi kumtongoza. Alinipa namba ya simu, nakatika kuingiza, jina lika-display.
Kiukweli huyu msichana sikumkumbuka kabisa, baadae nilikuja kumkumbuka. Nikaendelea kuchati nae.
Tatizo huyo msichana haniamini kabisa na amesema hatakuja kuniamini, anajua mi ni malaya ka Feruz kwenye ule wimbo wa Starehe.
Naombeni maujanja yenu nifanyaje ajue mi sio malaya? Mi nampenda kiukweli.