NduliCCM, Unaweza usipende kuambiwa ni malaya (if a man anaweza itwa hivyo pia sina hakika) BUT historia hii ambayo umeeleza inadhihirisha ni kwa namna ipi unachukulia suala la kutongoza kwa wepesi. Ni wazi kua unapotongoza mara nyingi husukumwa na sababu ya kutaka kulala nae ziaid kuliko kuwa nae na umtongozae akionyesha tu challenges hata kidogo huyoo unakimbia. Kitendo cha wewe kumtongoza miezi michache iliyopita kama ulivyokiri then ukamsahau - Ni picha ambayo kwa kweli haipendezi.
Ingekua kweli ulikua unampenda ungetafuta namna yingine ya winning her heart. Mtu ambae unapenda KWELI unatafuta kila namna kuhakikisha anatambua depth ya penzi lako hadi pale utakapojitahidi na mwenzio kuonyesha wazi kutojali hilo penzi lako.
Samahani... Hadi sasa nilipokusoma naungana na huyo dada, siamini kua kweli wampenda. Pengine kilichokusukuma wewe kutaka kumpata sasa ni kutambua kua hii ni mara yako ya pili kutongoza na dada kakulipia so somewhere inside of you unataka kujisafisha hiyo realisation kuliko hata vile ambavyo unataka kuwa nae.
Huu ni mtazamo wangu katika hili.