mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
anakufananisha na chizi
Habari zenu wana jf kuna bint nimemtongoz na kanikatalia pia ila hachoki kuniangalia i mean most of time i observe she is watching me even thuogh mm sina habar nae tena
Habari zenu wana jf kuna bint nimemtongoz na kanikatalia pia ila hachoki kuniangalia i mean most of time i observe she is watching me even thuogh mm sina habar nae tena
Anakuangalia au anakushangaa??!!
Mbona na wewe huchoki kumwangalia
Habari zenu wana jf kuna bint nimemtongoz na kanikatalia pia ila hachoki kuniangalia i mean most of time i observe she is watching me even thuogh mm sina habar nae tena
Mimi hata sijaelewa! Mnakaa nyumba moja au huwa mnatafutana ili muangaliane?!
[Nahisi harufu ya uwanafunzi wa bweni au uwanachuo hapa]...Hivi hamjafunga Easter mkawasaidie wazazi mashambani?