Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,059
- 185,355
Kwa Baadhi ya wanawke hapana/sitaki inaaminisha ndiyo lakini subiri kwanza nikuchunguze. Hiyo hata wewe inaweza kukutokea kwamba ukishajua mwanamke fulani anakutaka basi hutoacha kumuangalia angalia popote utakampo mkuta hata kama ulimwambia hapana.