Nimemtongoza kakataa ila hachoki kuniangalia

Nimemtongoza kakataa ila hachoki kuniangalia

Kwa Baadhi ya wanawke hapana/sitaki inaaminisha ndiyo lakini subiri kwanza nikuchunguze. Hiyo hata wewe inaweza kukutokea kwamba ukishajua mwanamke fulani anakutaka basi hutoacha kumuangalia angalia popote utakampo mkuta hata kama ulimwambia hapana.
 
Habari zenu wana jf kuna
bint nimemtongoz na kanikatalia pia ila hachoki kuniangalia i mean most
of time i observe she is watching me even thuogh mm sina habar nae
tena

anakushangaa ulivyopanda ngazi usizoziweza
 
Mimi hata sijaelewa! Mnakaa nyumba moja au huwa mnatafutana ili muangaliane?!

[Nahisi harufu ya uwanafunzi wa bweni au uwanachuo hapa]...Hivi hamjafunga Easter mkawasaidie wazazi mashambani?

hahahahaaaa asanteee mkuu
 
Habari zenu wana jf kuna bint nimemtongoz na kanikatalia pia ila hachoki kuniangalia i mean most of time i observe she is watching me even thuogh mm sina habar nae tena

hapo ndo huwa nakipenda ki-english kuna:
watch
look at
stare
observe
gaze at ...........et cetera, et cetera
verbs nyingine zipo special kwa matendo kama kuangalia katuni
 
Kwa hiyo mtu akikukataa haruhusiwi kukuangalia???????
Wanaume mnapenda sana visasi vya kijinga khaa!!
Inawezekana anakuangalia kwasababu anakuonea huruma jinsi unavyohangaika kujifanya huna shida nae wakati ushamtongoza, hahahahahah

Ha ha ha ha hilo nalo neno..
 
Mtafte Hata Rafiki Yake Umtongoze Akikubaria Jipitishe Mbele Yake Aumie Zaidi
 
nyie ni wanafunzi??? kwamba ashinde anakuangalia tu like mko class moja??? au mnakaa mtaa mmoja ukiona hivyo unajipitisha ndugu pole sana kwaio anabaki anakushangaa tu
 
nyie ni wanafunzi??? kwamba ashinde anakuangalia tu like mko class moja??? au mnakaa mtaa mmoja ukiona hivyo unajipitisha ndugu pole sana kwaio anabaki anakushangaa tu

Hahahaha we kweli manka
 
Akikuangalia mkonyeze ebooo... alafu unapoteza akikuangalia tena mkonyeze kitakachofata njoo unihadithie
 
Watch her too kuwe na meetn of minds " some girls need more more meetn of minds than actions.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom