Nimemtambulisha mchumba wangu kalazwa

Nimemtambulisha mchumba wangu kalazwa

SAFE

Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
10
Reaction score
1
jamani nimemtambulisha mchumba wangu nyumbani Mambo yalikwenda vinzuri lakin wakati msindikiza alikua analia nikajua furaha wala sikufatilia baada ya mda nikapigiwa sim amelazwa nikaenda kumuona anaendelea kulia namuliza hasemi nn tatizo,hospital wamemwambia Anahoma.
 
Sasa mpenzi wako analia hujui analia nini au furaha ndio ilomtia homa?
 
Majibu anayo yeye ingawa hata wewe ulipaswa kumwangallia kwa makini kutafsiri kilio chako ikiwa ni pamoja na lugha yake ya mwili hasa uso kujua analia kwa furaha au huzuni.
 
Me sizani kama hichokilio kama ni chafuraha.. Hapo lazima kuwe na ualakini kutoka kwenye hiyo familia yenu.
 
Hapo utajiuliza maswali mengi balaa,,,!!!
 
...........hee ngoja apone upokee masapraizi!!
 
Mh mlipanga umtambulishe au hajapenda ulivyofanya.lol!
 
jamani nimemtambulisha mchumba wangu nyumbani Mambo yalikwenda vinzuri lakin wakati msindikiza alikua analia nikajua furaha wala sikufatilia baada ya mda nikapigiwa sim amelazwa nikaenda kumuona anaendelea kulia namuliza hasemi nn tatizo,hospital wamemwambia Anahoma.

Kwa hiyo ulikuwa unataka sisi wana JF wenzako tufanyeje.......?
Tukusaidie kumbembeleza au kitu gani mtoa mada........?😛layball:
 
wadada nao muda mwingine...............unakigawa ovyo ovyo mwisho wa siku ndo unakuta kachain kanamkuta ndugu wa mchumba'ko yumo,mi naamini huyo yanamliza mengi.
 
Tuko wangapi hiyo ndugu yangu! Ka chain kanaendelea. Mbane mshua au bro wako au dogo km wapo! Halafu tupo historia yake kidogo basi mlikutana wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom