Nimemtambulisha mchumba wangu kalazwa

Nimemtambulisha mchumba wangu kalazwa

Chukua machozi yake yaweke kwenye glass alafu peleka kwa specialist ayapime.. achana na huyo Dr. anayesema ni homa!
 
Mambo ni mengi hapo ndugu, husishangae ukijaambiwa kwamba mdingi wako ni ATM ya mama yake, na pengine mna-share baba kiukwelii au kimalezi......

Kwani utambulisho huo ulimhusisha mdingi wako? TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
kilio cha samaki machozi yamekwenda na majiiiiiiiiiiiiiiiii...lol mwisho wa ubaya ni aibu,mie naungana na aliyesema ashawahi kumtukana mama mkwe hahahhahahaha:tape2:
 
Duh, utoto tu
Hata kama nimekula dingi ako ndo nilie? Nalilia nini?

Si nakumwaga tu naendelea na mdingi.
 
SIRI MOYONI..., akipenda atakuambia tu, asipopenda uchumba utaishia hewani!
 
jamani nimemtambulisha mchumba wangu nyumbani Mambo yalikwenda vinzuri lakin wakati msindikiza alikua analia nikajua furaha wala sikufatilia baada ya mda nikapigiwa sim amelazwa nikaenda kumuona anaendelea kulia namuliza hasemi nn tatizo,hospital wamemwambia Anahoma.

Eeh bwana eeh! mbona unaridhika na majibu mepesi mepesi ndugu yangu? eeh yaani analia wakati unamsindikiza, eeh! amefika nyumbani analia halafu unapokea ujumbe ghafula kuwa amelazwa umekwenda kumwona bado analia halafu nini ati ana homa? Na wewe unaridhika na majibu hayo 'just like that'

Ki Saikolojia kilio kama hicho kinaashiria kuwa moyo wa binti umebeba jambo zito. Cha muhimu ni kutumia mbinu zote kuweza kudodosa mpka binti afunguke ili ujue kilichojiri. Hata huko kulazwa pengine 'stress' tu zinasababishwa na kukwazika na juu ya lile linaendelea katika nafsi yake pasipo kujua la kufanya.
 
Nina wasiwasi huyo mdada amegundua huenda alishamtukanaga mama mkwe, au labda alishakuwa na mahusiano na mmoja wa makaka wa jamaa!
Sasa presha juu!...huh!
au yule ni kaka yake wakuzaliwa kesha kula bujugwa ya dada yake
 
Inawezekana ni dada yako, au Dingi yako na mama yake ni marafiki au ni small house ya dingi yako,chagua moja kai ya hayo hapo niiyokuandikia.
 
Ongea vizuri na dingi yako.....otherwise chunguza mood ya dingi!!!
 
jamani nimemtambulisha mchumba wangu nyumbani Mambo yalikwenda vinzuri lakin wakati msindikiza alikua analia nikajua furaha wala sikufatilia baada ya mda nikapigiwa sim amelazwa nikaenda kumuona anaendelea kulia namuliza hasemi nn tatizo,hospital wamemwambia Anahoma.
Mmeenda kumrushia majini dada wa watu huko kwenu. Na ole wako afe...
 
Mbadilikie sura weka uso wa mbuzi akueleze ili ushiriki kumsaidia tatizo lililomsiba baada kuja kwenu,May be kuna bonge la siri ukilisikia na wewe utalazwa pamoja naye chezea mapenzi ya bongo weyee
 
analia alishafika kwenu kabla ya wewe? Baba yako sio kiruka njia? hauna kaka na wadogo zako? kuna mengi je, labda swala la kipato na mazingira kwa ujumla hapo home kwenu?
 
Itabidi umuulize analo la kukujibu. Halafu wewe una haraka kweli ushakimbilia jf si ungesubiri apone umuulize kisha kama angekataa kukupa jibu then ungeileta mada jf. But anyway muulize atakujibu.
 
Mmeenda kumrushia majini dada wa watu huko kwenu. Na ole wako afe...
hahahahahaha kazi kweli kweli. Hapo itabidi wampeleke kwa mzee wa misukule akaondolewe hilo pepo
 
Miaka ile ya tisini baba yako alipokuwa jambazi walivamia nyumbani kwao na mchumba wako,wakaua wazazi wake wote wawili yeye alikiwa na mtoto mdogo alijificha chini ya kochi, lkn alioana sura za wauaji wote.Alipoona sura ya baba yako lo..... muuaji wa wazazi wake ndiyo babaa mkwe mtarajiwa....Tufwileeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom