Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
umeona eeeh!Mabinti wa leo wana kazi sana jamani
na wababa wa leo nao mmmhhhh! nashindwa hata niseme nini
umeona eeeh!Mabinti wa leo wana kazi sana jamani
Chukua machozi yake yaweke kwenye glass alafu peleka kwa specialist ayapime.. achana na huyo Dr. anayesema ni homa!
Miaka ile ya tisini baba yako alipokuwa jambazi walivamia nyumbani kwao na mchumba wako,wakaua wazazi wake wote wawili yeye alikiwa na mtoto mdogo alijificha chini ya kochi, lkn alioana sura za wauaji wote.Alipoona sura ya baba yako lo..... muuaji wa wazazi wake ndiyo babaa mkwe mtarajiwa....Tufwileeeee.