sinafungu, ni kwa nini u rule out kuwa wewe siye mkosaji kwa yale ambayo yametokea na kusababisha mshindwe kuonana kama matakwa yenu?
Kitendo cha wewe kutumia upenyu ulikuwa nao kulala na mkewe inatoa picha hata katika shughuli na hali ya kawaida wewe si wa kuaminika. Pengine anakukwepa kwa tabia zako fulani ambazo kwake hazimfurahishi, na pengine haya yote unayosema umemsaidia si wewe peke yako; kuna wengine wamefanya zaidi yako.
Inasikitisha sana kuwa siku zinavyozidi kwenda mbele jamii inakuwa ikichekelea yale ambayo huonekana ni kinyume na maadili ya kawaida ya kila siku. Umeona haitoshi wewe kutembea na mkewe ila pia ulitangaze kwa watu wengine.
Nakusihi angalia sana nyenendo zako, unaweza kuona kana kwamba yale unayofanya unakomesha kumbe unajikomesha mwenyewe. What goes around comes back around.
Sijaona urafiki hapa AshaDii ila naona tuu uzinzi unapewa kipaumbele. Ameona nyendo za mke wa rafiki yake muda mrefu na badala hata ya kumweleza hilo the so called friend kaamua kukaa kimya na mwishowe kafanya kile ambacho hakupaswa kufanya
Na by the way inaonyesha walianza siku nyingi sana kutengeneza mazingira haya na hii ya matatizo na kutokuelewana kati yake na rafikiye imekuwa justfication tuu ya kuionyesha walichodhamiria
AshaDii mambo? Missed you.
Huyu kijana anaamini ataonekana mwanaume zaidi kwa kutangaza upuuzi kama huu...wewe puuza tu...na mimi nimepuuza.
Miss you mama watoto wangu..hii comment nimeiapprove sisemi kitu tena
Nafurahi umelitazama the same way nalitazama. Inakuwa mbaya zaidi anapofurahia tabia hizi hadharani na wengine kuunga mkono. Haipendezi kabisa! Namsihi sinafungu abadilike ama aje atueleweshe.
Hey you... Missed you more. Mambo mswano (Vijana wanasema) lol
RR how are you doing lakini? Naomba lile kundi lenu liongeze tawi moja wapo la mafunzo (how to behave like a gentleman regardless unaharibu) 🙂
U think u ar hero huoni hat aibu kutembea na mke wa rafikio afu unajisifu kwA uupuzi wako
Who am I to say overrule that?! Mengi niliyonayo ya kusema nayaweka akiba ifikapo zamu yangu baba watoto 😛hoto:.
Mwanamke almost always has the final say when it comes to consensual sex.
Huyo mke naye ndo walewale tu kama walivyo wengine.
Kujifanya wema sana kumbe hawana lolote. Wakipata upenyo tu wanakusaliti.
Heri kubakia mseja kuliko kujitia kwenye hali ya kuwaza na kuwazua kila kukicha.
Mwanamke almost always has the final say when it comes to consensual sex.
Huyo mke naye ndo walewale tu kama walivyo wengine.
Kujifanya wema sana kumbe hawana lolote. Wakipata upenyo tu wanakusaliti.
Heri kubakia mseja kuliko kujitia kwenye hali ya kuwaza na kuwazua kila kukicha.
Ngabu you good?
Hivi wema wa mtu unaendana vipi na kufanya ama kutofanya sex nje ya ndoa? Naomba unieleweshe.
Suala la kuwa mseja, naamini ni chaguo tu or hiyo ni moja ya sababu but si sababu.
Kuna wanawake hawaamini katika kuwa na mahusiano zaidi ya mtu mmoja.
Hivyo naamini unauwezo wa kumpata, else itokee kasoro nyingine tu kwake.