Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
Ilikua siku ya juzi maeneo X,,, mpenzi wangu aliniaga analala baada ya mimi kumwambia starudi nyumbani kwa sababu nina emergency,, kwakua alihisi namdanganya na ninaenda kwa mchepuko na ilikua kweli...
Huyu mdada anaishi kwake na mimi naishi kwangu, ila mda mwingi hua anapenda akae na mimi saivi tunaanza mwaka wa 2 kwenye mahusiano,
Baada ya kuniaga analala kumbe hakulala kawasindikiza marafiki zake, mida ya saa 5 usiku niko na mchepuko nampgia simu rafiki yake kasema wako wote...
moja kwa moja nkajiseme huyu bado yuko macho... jana yake asbui ikabidi niptie kwake,, nilvomuuliza jana usku alkua wapi akanijibu kejeli nkaishia kumpa kipigo heavy...
Baada ya kumpga jana asbui mida ya saa 3... jion nmemuomba msamaha.. kanisamehe,, marafiki zake wa kike kama wanne walkua wanapiga simu utadhani nmeua,, kanisamamehe nmemuaidi starudia tena.. ila roho imeniuma kumkosesha amani mpenzi wangu kwa makosa yangu mwenyewe... na istoshe tunadate tu
Huyu mdada anaishi kwake na mimi naishi kwangu, ila mda mwingi hua anapenda akae na mimi saivi tunaanza mwaka wa 2 kwenye mahusiano,
Baada ya kuniaga analala kumbe hakulala kawasindikiza marafiki zake, mida ya saa 5 usiku niko na mchepuko nampgia simu rafiki yake kasema wako wote...
moja kwa moja nkajiseme huyu bado yuko macho... jana yake asbui ikabidi niptie kwake,, nilvomuuliza jana usku alkua wapi akanijibu kejeli nkaishia kumpa kipigo heavy...
Baada ya kumpga jana asbui mida ya saa 3... jion nmemuomba msamaha.. kanisamehe,, marafiki zake wa kike kama wanne walkua wanapiga simu utadhani nmeua,, kanisamamehe nmemuaidi starudia tena.. ila roho imeniuma kumkosesha amani mpenzi wangu kwa makosa yangu mwenyewe... na istoshe tunadate tu