Nimempiga mimba mke wa mtu


Hapo kwenye kumpiga mimba mke wangu ndo pagumu aisee
 

Daah mamalao nipe ushauri basi , mi naamini maji yakimwagika yanazoleka hasa kwenye sakafu ya tiles tena ukiwa na vifaa vya kisasa. Mamalao hukosi neno jema bhana
 
Hapo kwenye kumpiga mimba mke wangu ndo pagumu aisee


Ni rahisi sana kama wewe ulivyomtia mimba mke wake. Si wanafanya tu mpaka mimba inaingia alafu basi, ugumu upo wapi sasa hapo.
 
Subiri azaliwe upime DNA ila hata kama ni yako unataka ukaribishe ugoni watch out
 
chukua uamuzi wa kumwomba mumewe naye amweke wa kwako mimba kisha watoto muwaite chawote kwani mtakuwa mmechanganya damu.
 
Watu wengine bana utadhani hawatumii akili, huyu naye... ebu fikiria angekuwa ni mke wako ndo kafanyiwa hivyo wewe ungejisikiaj? Watu wengi wanafikiri baada ya kutenda omg, unajua kbs unafanya kosa then unakuja kuomba ushauri, nyambafu wewe.
 
Kidume

Wewe ni dini gani? Kama wewe ni Muislam mtafute Sheikh Kipozeo. Atakuambia hukumu ya kula MZIGO ambao ni mke wa mtu ni hatari. Kiislam siyo sifa kabisa. Ni kweli zinaa ni marufuku japo watu wanafanya, ila kula MZIGO unachomwa vikali
 
Last edited by a moderator:

masikin.... had huruma ila aliyataka
 
kwa huu mwandiko nimeshakufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…