Wakuu mambo vipi,
Juzi kati nikimtokea na msichana mmoja mzuri. Katika hapa na pale akanikubalia mchezo bila ajizi. Kumbe walikuwa na mgogoro wa kiaina na mme wake.
Mzee nikawa napiga kazi za nje bila waifu wangu kujua. Mambo yakawa matamu mpaka anamtoroka mme wake anakuja napiga mzigo kisha anarudi kulala home kwake.
Sasa juzi kaniambia mzee haoni siku zake. Nina mashaka kama mimba ni yangu au ya jamaa yàke. Pia sitaki mke wangu ajue maana itakuwa shida sana na jamaa yàke akijua lazima waifu wangu atajulishwa.
Nipo njia panda nimekoma kula vya watu. Nataka kumrudia Mungu nimekosa sana.
Ushauri wakuu
Juzi kati nikimtokea na msichana mmoja mzuri. Katika hapa na pale akanikubalia mchezo bila ajizi. Kumbe walikuwa na mgogoro wa kiaina na mme wake.
Mzee nikawa napiga kazi za nje bila waifu wangu kujua. Mambo yakawa matamu mpaka anamtoroka mme wake anakuja napiga mzigo kisha anarudi kulala home kwake.
Sasa juzi kaniambia mzee haoni siku zake. Nina mashaka kama mimba ni yangu au ya jamaa yàke. Pia sitaki mke wangu ajue maana itakuwa shida sana na jamaa yàke akijua lazima waifu wangu atajulishwa.
Nipo njia panda nimekoma kula vya watu. Nataka kumrudia Mungu nimekosa sana.
Ushauri wakuu