Nimempenda jirani yangu, nifanyeje?

Nimempenda jirani yangu, nifanyeje?

Wee endelea tu shakujua unachotaka kufanya kwa mke wang! Ila nishanunua tayar KY ina kazi naww very soon 🔜
 
Kariakoo uko wanakoagiza makontena?

Mzuri afu anafanya kaz kariakoo?
Ww ni kiongozi wa umeme ?

Mr ebu weka izo nguvu kwingne uyo sio level yako bana, tafuta wa size yako
 
Nje ya stori yako

Kuna sehemu huwa napita kusalimia ninapopata nafasi

sasa huwa nikienda humo ndani ya geti kuna nyumba mbili hv, sasa moja ndo anaishi mwenyeji wangu nyingn anaishi mtu mwingine

Basi ukiingia getini nyumba inayooanza ni ya Jirani na mwenyeji wangu na inaishi familia huko ndani,

Kumbe mimi nikiingia Kuna Binti anakuwa ndani ananizoom akiwa yupo,

sasa toka wiki mbili hizi hapa bruh mmoja kwenye nyumba ya mwenyeji wangu tukawasiliana akaniambia kuna dogo anakuulizia mbona siku hizi huji ?

Mimi namuuliza dogo yupi mbona simjui ndo kanipa mkanda mzima

Yaani mpka Jana tumetoka kusalimia ndugu yety huko mbezi jamaa kanipa taarifa bibiye anauliza naendeleaje


Msubiri kipindi kijacho kwanza itavokuwa
 
Pole sana, Nahitaji watoto wangu waijue art ya kumtongoza mwanamke.

Hivi kwa Dunia ya sasa Kuna kutongoza au kumwambia mwanamke twende tukadoo.
 
Kwa hiyo unataka tukufundishe kutongoza? Angalia utaishia kuila kwa macho halafu siku ya siku unakuja kuona anaingiza kajamaa kachovu mpaka unajidharau kwamba ulikuwa wapi? Kama hutaki usumbufu anza hivi siku ukiingia kwake kufuata hela ya umeme "Jirani unajua huwa nakuheshimu sana kupita maelezo, sasa siku nikikukosea sijui utanisamehe? Akishasema tu nitakusamehe hiyo ni ndoano ameshaimeza, mengine malizia mwenyewe sasa! Mbinu hii mimi ilishanisaidia Nikala kiongozi mkubwa wa CCM!
kiongozi mkubbwa wa cccm ndio yule mjumbe wa nyumba 12 ?
 
Back
Top Bottom