Kiukweli TIQO umependa! Khaa! Broo wanawake wote wa vikosi vya jeshi, police na hata mgambo wanagegedwa kirahis rahis sana, na huwa hivyo kulinda nafasi zao, kupunguziwa kazi na hata kupandishwa vyeo! Embu vuta picha mkuu kwa nini wababa ambao wanafanya kazi za vikosi kama hivyo hukataa watoto wao wa kike kujiunga? Nna experience flan ambayo nimeshuhudia wababa wengi wakihiari watoto wao (w/ke) wakose ajira kabisaaa!
Anyway najua umependa mkuu, nisikuvunje moyo jaribu tu kuingiza mkono kizani, huenda nyota yako inan'gaa vilivyo! KILA LA HERI JEMBE LANGU.
We acha nongwa huyo binti aliyekunja ngumi ni mrembo...amenyoa nywele na amepanua mdomo nahisi ana shout
lakini bado anavutia...anawazidi warembo wengi mnaowasifia ambao wengi sio natural kiasi hiki...hicho kitu kimetulia
na huo ndio ukombozi wa dada zetu...Nafikiri Wakurya anawafaa sana huyu ukijaribu kumpiga utapata kichapo mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.