TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,104
Kwa kweli sie wanaume huwa tunaanza kwanza na kutamani kisha tunamalizia na kupenda, huyu binti nimemtamani sana baadae nakuta nashindwa kujizuia nampenda, waungwana naomba mnisaidie kunilink na huyu binti kama kuna uwezekana mawasiliano ya huko CCP Moshi aliko maliza mafunzo niongee na mkuu wa chuo anisaidie ili niweze kutuliza mtima wangu. Nawasilisha...