Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,952
- 10,593
Perceptions juu ya wauza vinywaji aliyojiwekea! Ila cha ajabu muuza bia Serena hotel hamfikirii kama anavyomfikiria uyo wa kimara korogweKwani Wana tatizo gani hao wanawake wanaouza bia?!
Perceptions juu ya wauza vinywaji aliyojiwekea! Ila cha ajabu muuza bia Serena hotel hamfikirii kama anavyomfikiria uyo wa kimara korogweKwani Wana tatizo gani hao wanawake wanaouza bia?!
RuksaMmh ngoja nikuundie tume ya uchunguzi
Ndio nami nipo njia panda kwani pamoja na kumuacha ndio kazidisha upendo na hekima kwangu. Ok, sababu ya kumuacha ni hii, niliona ni upuuzi kuwa na demu/ mpenzi changudoa, ni heri nibakie ordinary customer, hivyo nimemuacha ili akili yake na yangu iji tune kwa uhusiano wa muuzaji na mteja baasi. Lakini duh naona mtoto bado kaniganda kama mpenzi na hataki nimlipe nikila papuchi yake. Ndio hivyo no more ndugu.Kwanini umemuacha sasa?