Nimempenda Barmaid

Nimempenda Barmaid

Ushauri kwamba is it right kuoa na inawezekana barmaid akabadirika?
 
Kama hujaoa weka ndani hiyo kitu mkuu anajua maisha ni nini
 
mchukue umweke ndani alafu naomba unielekeze kwako ili nimpe ushauri wa kuishi mazingira mapya
 
Wadau jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya kimara korogwe, kwa sababu situmii pombe, niliagiza gland malt ya baridi nikawa nainywa..katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upoleee...sijawahi ona, nimetokea kumpendaa balaa..haiba yake haifanani na mazingira niliyompata...yaani ni mpole never meet before,,mweupe, kaumbika...ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazma nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje..maana nampenda sana
Unampenda kwa kutaka kumgegeda au unampenda kwa kutaka kuishi naye mazima??
 
mtoe ktk kaz hiyo umueleze nia yako atakuelewa na umtunze kwa mahitaji yote.....ila umuoe sio kumchezea tu
 
Mwambie tu ukweli kua unampenda ingawa anaweza asikuamini maana atadhani umemchukulia kama baa medi ambao watu huwachukulia kama ni easy prey kwamba wanapatikana muda wote na kwa bei chee.

Nilishawahi kumpata mmoja baa moja kinondoni alikua mzuri na mtamu sijawahi kuona hadi nikambadilishia kazi maana akivyokua mzuri na maeneo ya kinondoni nikaona watu watanishinda dau nikamhamisha fasta nikamtaftia kazi nyingine na kumsaidia mambo mengne.

Sio kila baa medi ni malaya wengine wanafanya kutokana na shida. Chukua baa medi huyo mkuu.

Ni baa gani hapo korogwe mkuu nitembelee jumamosi kupata chakula ya mchana nikiwa natokea maili moja kumuona jamaa yangu.
Usiishie kuhisi,fanyia moyo wako haki
Sasa Valentina mi nahisi not everything uu ridhishe moyo
 
Si afadhali wewe umempenda muuza bar, mimi nimeangukia kwa changudoa ana hekima kwangu ni balaa, sijawahi ona toka nianze kuwa teja wa machangudoa miaka kama kumi na tano hivi iliyopita. Huyu mrembo nimekutana nae Moshi kwenye bar moja hivi inapiga mziki live kila ijumaa. Kwa kweli damu zimekutana. Nimefanya upelelezi wa kutosha. Ila sina namna imebidi nimuache tu ila bado anazidi kuniheshimu. Nikitokea tu anaaacha upuuzi wake anaungana nami kwenye kiti, na sio kwamba ananichuna bali nae huchangia bili. Ni mwezi wa sita sasa toka tufahamiane. Ni binti wa miaka 24.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom