idrisabizzy
Senior Member
- Dec 5, 2015
- 112
- 48
Bar gani hiyo mkuu? hahahaha
ha ha haaa! mke wa mlinz utamjua tu.upo hadi muda huu? shemeji unampa saa ngapi?
Unampenda kwa kutaka kumgegeda au unampenda kwa kutaka kuishi naye mazima??Wadau jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya kimara korogwe, kwa sababu situmii pombe, niliagiza gland malt ya baridi nikawa nainywa..katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upoleee...sijawahi ona, nimetokea kumpendaa balaa..haiba yake haifanani na mazingira niliyompata...yaani ni mpole never meet before,,mweupe, kaumbika...ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazma nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje..maana nampenda sana
Nahisi ana wengi ujueMfungukie tu
Usiishie kuhisi,fanyia moyo wako hakiNahisi ana wengi ujue
Mwambie tu ukweli kua unampenda ingawa anaweza asikuamini maana atadhani umemchukulia kama baa medi ambao watu huwachukulia kama ni easy prey kwamba wanapatikana muda wote na kwa bei chee.
Nilishawahi kumpata mmoja baa moja kinondoni alikua mzuri na mtamu sijawahi kuona hadi nikambadilishia kazi maana akivyokua mzuri na maeneo ya kinondoni nikaona watu watanishinda dau nikamhamisha fasta nikamtaftia kazi nyingine na kumsaidia mambo mengne.
Sio kila baa medi ni malaya wengine wanafanya kutokana na shida. Chukua baa medi huyo mkuu.
Ni baa gani hapo korogwe mkuu nitembelee jumamosi kupata chakula ya mchana nikiwa natokea maili moja kumuona jamaa yangu.
Sasa Valentina mi nahisi not everything uu ridhishe moyoUsiishie kuhisi,fanyia moyo wako haki
Not everything lakini kwa hapo ni sawa. Kampenda mfungukie then uone kama atakidhi moyo wakoSasa Valentina mi nahisi not everything uu ridhishe moyo