chukuaWadau,
Jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya Kimara Korogwe, kwasababu situmii pombe, niliagiza grand malt ya baridi nikawa nainywa, katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upole sijawahi ona, nimetokea kumpenda balaa.
Haiba yake haifanani na mazingira niliyompata yani ni mpole never meet before, mweupe, kaumbika ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazima nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje,maana nampenda sana.
Hatari sana!!!Si afadhali wewe umempenda muuza bar, mimi nimeangukia kwa changudoa ana hekima kwangu ni balaa, sijawahi ona toka nianze kuwa teja wa machangudoa miaka kama kumi na tano hivi iliyopita. Huyu mrembo nimekutana nae Moshi kwenye bar moja hivi inapiga mziki live kila ijumaa. Kwa kweli damu zimekutana. Nimefanya upelelezi wa kutosha. Ila sina namna imebidi nimuache tu ila bado anazidi kuniheshimu. Nikitokea tu anaaacha upuuzi wake anaungana nami kwenye kiti, na sio kwamba ananichuna bali nae huchangia bili. Ni mwezi wa sita sasa toka tufahamiane. Ni binti wa miaka 24.
Watu mnajua kutumia fursaMwambie tu ukweli kua unampenda ingawa anaweza asikuamini maana atadhani umemchukulia kama baa medi ambao watu huwachukulia kama ni easy prey kwamba wanapatikana muda wote na kwa bei chee.
Nilishawahi kumpata mmoja baa moja kinondoni alikua mzuri na mtamu sijawahi kuona hadi nikambadilishia kazi maana akivyokua mzuri na maeneo ya kinondoni nikaona watu watanishinda dau nikamhamisha fasta nikamtaftia kazi nyingine na kumsaidia mambo mengne.
Sio kila baa medi ni malaya wengine wanafanya kutokana na shida. Chukua baa medi huyo mkuu.
Ni baa gani hapo korogwe mkuu nitembelee jumamosi kupata chakula ya mchana nikiwa natokea maili moja kumuona jamaa yangu.
Ili kuokoa maisha yako mkuuSasa
Nipime niwe natafuta nn mkuu?
Atakuwa demu wangu wa hapo toroka uje, achana nae kabisa, au nikutajie na jina.Wadau,
Jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya Kimara Korogwe, kwasababu situmii pombe, niliagiza grand malt ya baridi nikawa nainywa, katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upole sijawahi ona, nimetokea kumpenda balaa.
Haiba yake haifanani na mazingira niliyompata yani ni mpole never meet before, mweupe, kaumbika ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazima nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje,maana nampenda sana.
Mhhh! Wewe unatakiwa kutoa ushauri tu,ukienda tu umeharibuMwambie tu ukweli kua unampenda ingawa anaweza asikuamini maana atadhani umemchukulia kama baa medi ambao watu huwachukulia kama ni easy prey kwamba wanapatikana muda wote na kwa bei chee.
Nilishawahi kumpata mmoja baa moja kinondoni alikua mzuri na mtamu sijawahi kuona hadi nikambadilishia kazi maana akivyokua mzuri na maeneo ya kinondoni nikaona watu watanishinda dau nikamhamisha fasta nikamtaftia kazi nyingine na kumsaidia mambo mengne.
Sio kila baa medi ni malaya wengine wanafanya kutokana na shida. Chukua baa medi huyo mkuu.
Ni baa gani hapo korogwe mkuu nitembelee jumamosi kupata chakula ya mchana nikiwa natokea maili moja kumuona jamaa yangu.