Nimempenda Barmaid

Nimempenda Barmaid

km ww ulivyompenda kuna watu kumi km ww wamempenda.
Km upo serious hebu tafuta muda ambao yy yupo free mzungumze.
Mweleze ya moyon kisha muende mkapime HIV then muweke ndani.
Kuendelea kumuacha hapo akifanya hiyo kaz ya ubamedi ni kumpa majaribu. Na pia kukaa kimya kwako kutakufanya umkose
 
wewe umempenda sasa watwambia ili iweje? tuwekee picha hapa tuklushauri
 
Wadau,

Jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya Kimara Korogwe, kwasababu situmii pombe, niliagiza grand malt ya baridi nikawa nainywa, katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upole sijawahi ona, nimetokea kumpenda balaa.

Haiba yake haifanani na mazingira niliyompata yani ni mpole never meet before, mweupe, kaumbika ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazima nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje,maana nampenda sana.
chukua
 
Si afadhali wewe umempenda muuza bar, mimi nimeangukia kwa changudoa ana hekima kwangu ni balaa, sijawahi ona toka nianze kuwa teja wa machangudoa miaka kama kumi na tano hivi iliyopita. Huyu mrembo nimekutana nae Moshi kwenye bar moja hivi inapiga mziki live kila ijumaa. Kwa kweli damu zimekutana. Nimefanya upelelezi wa kutosha. Ila sina namna imebidi nimuache tu ila bado anazidi kuniheshimu. Nikitokea tu anaaacha upuuzi wake anaungana nami kwenye kiti, na sio kwamba ananichuna bali nae huchangia bili. Ni mwezi wa sita sasa toka tufahamiane. Ni binti wa miaka 24.
Hatari sana!!!
 
Wat
Mwambie tu ukweli kua unampenda ingawa anaweza asikuamini maana atadhani umemchukulia kama baa medi ambao watu huwachukulia kama ni easy prey kwamba wanapatikana muda wote na kwa bei chee.

Nilishawahi kumpata mmoja baa moja kinondoni alikua mzuri na mtamu sijawahi kuona hadi nikambadilishia kazi maana akivyokua mzuri na maeneo ya kinondoni nikaona watu watanishinda dau nikamhamisha fasta nikamtaftia kazi nyingine na kumsaidia mambo mengne.

Sio kila baa medi ni malaya wengine wanafanya kutokana na shida. Chukua baa medi huyo mkuu.

Ni baa gani hapo korogwe mkuu nitembelee jumamosi kupata chakula ya mchana nikiwa natokea maili moja kumuona jamaa yangu.
Watu mnajua kutumia fursa
 
Bartender - Naeto C
In lov wit stripper-T.Pain
 
siku ukija kurudi nyumbani kwako bila hata sarawili usiache kuja kuomba ushauri. koh koh koh.
 
Sasa nirudi bila suruali kwa nn?
 
Wadau,

Jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya Kimara Korogwe, kwasababu situmii pombe, niliagiza grand malt ya baridi nikawa nainywa, katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upole sijawahi ona, nimetokea kumpenda balaa.

Haiba yake haifanani na mazingira niliyompata yani ni mpole never meet before, mweupe, kaumbika ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazima nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje,maana nampenda sana.
Atakuwa demu wangu wa hapo toroka uje, achana nae kabisa, au nikutajie na jina.
 
Mwambie tu ukweli kua unampenda ingawa anaweza asikuamini maana atadhani umemchukulia kama baa medi ambao watu huwachukulia kama ni easy prey kwamba wanapatikana muda wote na kwa bei chee.

Nilishawahi kumpata mmoja baa moja kinondoni alikua mzuri na mtamu sijawahi kuona hadi nikambadilishia kazi maana akivyokua mzuri na maeneo ya kinondoni nikaona watu watanishinda dau nikamhamisha fasta nikamtaftia kazi nyingine na kumsaidia mambo mengne.

Sio kila baa medi ni malaya wengine wanafanya kutokana na shida. Chukua baa medi huyo mkuu.

Ni baa gani hapo korogwe mkuu nitembelee jumamosi kupata chakula ya mchana nikiwa natokea maili moja kumuona jamaa yangu.
Mhhh! Wewe unatakiwa kutoa ushauri tu,ukienda tu umeharibu
 
Fata roho yako ongea, ukimkuta hana mtu basi bahati yako au piga mbizi awe wako wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom