Mkuu inaelekea unauzoefu sana na wahudumu wa maji ya dhahabuJifunze kunywa bia, nakuhakikishiaa utampata , maaba ufakujikuta umeshaongea la moyoni.
Wadau jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya kimara korogwe, kwa sababu situmii pombe, niliagiza gland malt ya baridi nikawa nainywa..katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja mzuri anasura ya upoleee...sijawahi ona, nimetokea kumpendaa balaa..haiba yake haifanani na mazingira niliyompata...yaani ni mpole never meet before,,mweupe, kaumbika...ana zigo kiasi! Wiki lote linaisha lazma nipitie hii bar nikitoka kazini, naombeni ushauri nifanyeje..maana nampenda sana
Mkuu ilikuwa kitambo ila kwa sasa nina mke na watoto, naheshimu familiaaMkuu inaelekea unauzoefu sana na wahudumu wa maji ya dhahabu
upo hadi muda huu? shemeji unampa saa ngapi?kama kuoa,bas huyo ni mwanamke stahiki.
kama kuoa,bas huyo ni mwanamke stahiki.