Nimempa zawadi akazira

Nimempa zawadi akazira

Danisamweswa

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
453
Reaction score
154
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.
 
hizo zawadi kawape wazungu au watoto wa masaki mademu wa manzese wanaitaji ela wakasaidie familia zao au wakalipe kodi
 
hizo zawadi kawape wazungu au watoto wa masaki mademu wa manzese wanaitaji ela wakasaidie familia zao au wakalipe kodi

naunga mkono hoja
 
unajua sababu za kwanin anapenda kulala??
 
hizo zawadi kawape wazungu au watoto wa masaki mademu wa manzese wanaitaji ela wakasaidie familia zao au wakalipe kodi

Hhaaaaaa ni kweli aiseee............

Nimecheka hadi.....pozi la mto looh
 
^^
Inawezekana hakuchukia zawadi bali maelezo baada ya zawadi.
^^
 
I will be honest with you...Hio kama njia mojawapo ya kuminsult!!Mtu anayependa kulala maana yake ni mvivu...Mfano mzuri... kwasababu anajua udhaifu wako wewe labda kutazama ile mikanda michafu halafu akakununulia na kukupa zawadi ya birthday?Utajisikiaje?UTAIBIKA SI NDIO!!
Halafu zawadi ya mto come on man!!Hata mi nisingefurahi kwa kweli...I always expect more from some one i love...I would appreciate more a bunch of flowers than a god damn pillow!
 
huna kosa inaonekana bado humjui mpenzi wako kwa sababu hiyo ni kama joke though ni kweli. alichotakiwa kufanya ni kupokea tu pole mkuu. she take too serious in life tell her she need sometimes to have funny,....
 
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.

Hahahaha, hii kali zawadi ya mto ili aendelee kulala
 
Pengine anataka pillow na pills za usingz ....kdng
Seriously, we umezoea kumpa zawad gani? Na mara zote anazifurahia? I guess huyo girl alitegemea smthng else mfano nguo, sim nk bt sio mto.
 
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.

wenzake wanapewa gari wewe unaleta mto. alikuambia anahitaji mto? kwanini hukumpa hela akajinunulia kama vipi? mia
 
Alichukia kwakuwa ulimpa ugali bila mboga...!ungempa full version ungeona mpaka jino la mwisho...! Nakushauri kanunue kitanda bomba godoro spesheli mashuka na huo mto wako kisha kapangishe chumba self container halafu mwite uone
 
Usingemwambia kama anapenda kulala ila ungempa bila maelezo yoyote
Naombeni kujua kosa langu ni nini? Ilikuwa siku ya birthday ya mpenzi wangu. Ninavyomjua huwa anapenda sana kulala. Basi mojawapo mwa zawadi nilizomnunulia ni mto (Pillow). Nilimwambia wazi kuwa nimekununulia pillow kwa kuwa ninajua unapenda sana kulala. Duh! kumwambia hivyo akachukia na wala zawadi hiyo hakuipokea. Naombeni kujua kama nilikosea au la. Binafsi sijaona kosa langu kwani nilikuwa na nia njema tu kumpa zawadi hiyo.
 
hahahahhhhhhaaa
hata ingekuwa mimi nisingekubali
mie mtoto wa kiafrica huwez nipa zawad ya kizungu.labda kama mapenz yenu mnayaendesha kizungu
 
Mwambie ulikua unamtania so atake it as joke
 
Asanteni kwa mashauri yenu. Ninajua sasa zawadi kama hiyo nilipaswa kumpa demu wangu wa UK. kumbe wa huku bongo noma sikujua. Asanteni
 
Back
Top Bottom