Sizonje alishayafanya ya mtoa mada kitambo sana.Kwa tabia hizi Sizonje hawezitubu....
Sizonje alishayafanya ya mtoa mada kitambo sana.Kwa tabia hizi Sizonje hawezitubu....
hainaga ushemeji tunakulaaaHabarini wadau
Niliongelea kuwa nimejikuta kwenye mahusiano na dada ake na mke wangu baada ya mke kwenda kujifungua nyumbani kwetu. Mazingira niliyobaki nayo na uhalisia yalinifanya nianzishe mahusiano na shemeji yangu ambaye nilimtamani tangu zamani.
Baada ya kutafuta namna ya kuachana nae baada ya kuwa addicted kwake, nilishindwa kumpiga chini. Niliona nende nae taratibu, ila kuna mazingira ambayo nilianza kuyaweka ili niwe nae mbali. Nilitaka niombe likizo nisafiri, ili wiki ijayo anapokuja mke wangu asinikute nae.
Nimefanya mchakato wa kuanza likzo baada ya mwaka mpya nimekubaliwa na mkuu. Jana jioni wakati nataka nipige mashine ananipa habari za kutokuona siku zake. Leo asb nimetoka kununua pegnancy test, majibu ni positive. Na amefurahi anadai hatoi. Nimemuuliza unataka familia yangu ife? Ameniambia hayamuhusu, yeye anachojua amepata alichohitaji.
Nimechanganyikiwa, Nasubiri akili itulie nifanye maamuzi
Mwenye maamuzi ni yeye, na utaipatapata kama ni mjanja lazima akuvune pesa za kutosha ndo utakomaHabarini wadau
Niliongelea kuwa nimejikuta kwenye mahusiano na dada ake na mke wangu baada ya mke kwenda kujifungua nyumbani kwetu. Mazingira niliyobaki nayo na uhalisia yalinifanya nianzishe mahusiano na shemeji yangu ambaye nilimtamani tangu zamani.
Baada ya kutafuta namna ya kuachana nae baada ya kuwa addicted kwake, nilishindwa kumpiga chini. Niliona nende nae taratibu, ila kuna mazingira ambayo nilianza kuyaweka ili niwe nae mbali. Nilitaka niombe likizo nisafiri, ili wiki ijayo anapokuja mke wangu asinikute nae.
Nimefanya mchakato wa kuanza likzo baada ya mwaka mpya nimekubaliwa na mkuu. Jana jioni wakati nataka nipige mashine ananipa habari za kutokuona siku zake. Leo asb nimetoka kununua pegnancy test, majibu ni positive. Na amefurahi anadai hatoi. Nimemuuliza unataka familia yangu ife? Ameniambia hayamuhusu, yeye anachojua amepata alichohitaji.
Nimechanganyikiwa, Nasubiri akili itulie nifanye maamuzi
Mijitu mingine aisee hopeless kabisa, saaasa nani kasema hapo kwamba anapesa nyingi zaidi ya....? hadi unakurupuka kuandika ujinga."Kuwa na fedha" inategemea analinganishwa na nani. Yawezekana jamaa ni muuza mkaa, shemeji ni mchoma vitumbua. Hapa jamaa ataonekana ana hela kuliko shemejiye.
Au yawezekana jamaa ana ka kazi ka kuajiriwa analipwa laki 4 kwa mwezi, shemeji mama wa nyumbani tu.
Kimsingi, mapenzi yanaweza kusababishwa na mazingira tu. Pesa siyo chanzo pekee cha penzi kustawi.
Eeeeh kichambo takatifu hikiUlipoandika uzi ule humu kumbe uliwadharau waliokushauri vizuri..
Sasa ndio utajiju.. huyo ni hadi ukoo wote utajua ulichofanya.. na unaendelea kumuachia aishi kwako.. eeeh vitimbi vyake kwa mkeo utaviona.. kwa kuwa ulitaka kukimbia inaonyesha kuwa unamtaka yeye zaidi ya mkeo.. namuombea mkeo ajue haraka ulichokifanya nae aumie na kujiamulia mapena analotaka. Kama wamekuseti nalo mtajiju.. mwanaume wewe mchafu sana kumvulia shemeji yako nguo zako.. shaaaa kichefuchefu