khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,147
- 1,075
Pambana
Maswala ya chadema yanaingiliaje
Ushauri mbaya huo.Mkuu jiue![]()
Mmmhhh !!!, Fafanua Mkuu, inakuwaje hapo ??.Hakuna Matata waoe wote ila kutua Nuksi kula nyama ya paka miezi sita kila siku kutwa mara 7
Asijiue. taarifa ya mkemia anasema zaidi ya 58% ya wanaofanya DNA test watoto si wa kwaoMkuu jiue![]()
Iligonga mwamba mkuu. Aliniambia twende kwenye maombi, ili nisiwe napatwa na matatizo kama hayo. Nilimwambia tusubiri tuone kama hali hiyo itarudiaKwani zile story za kujikojolea na kupandisha mashetani zilishindwa? Maana ilikuwa amazing sana. Mbinu zako za kujikojolea na kukauka na Dada mtu kukimbia Nje ziligonga mwamba?
Shetan akitoka walikuwa wanaendeleza libeneke mkuuKwani zile story za kujikojolea na kupandisha mashetani zilishindwa? Maana ilikuwa amazing sana. Mbinu zako za kujikojolea na kukauka na Dada mtu kukimbia Nje ziligonga mwamba?
Unatenda dhambi ya zinaa alafu unakuja kutushirikisha.Habarini wadau
Niliongelea kuwa nimejikuta kwenye mahusiano na dada ake na mke wangu baada ya mke kwenda kujifungua nyumbani kwetu. Mazingira niliyobaki nayo na uhalisia yalinifanya nianzishe mahusiano na shemeji yangu ambaye nilimtamani tangu zamani.
Baada ya kutafuta namna ya kuachana nae baada ya kuwa addicted kwake, nilishindwa kumpiga chini. Niliona nende nae taratibu, ila kuna mazingira ambayo nilianza kuyaweka ili niwe nae mbali. Nilitaka niombe likizo nisafiri, ili wiki ijayo anapokuja mke wangu asinikute nae.
Nimefanya mchakato wa kuanza likzo baada ya mwaka mpya nimekubaliwa na mkuu. Jana jioni wakati nataka nipige mashine ananipa habari za kutokuona siku zake. Leo asb nimetoka kununua pegnancy test, majibu ni positive. Na amefurahi anadai hatoi. Nimemuuliza unataka familia yangu ife? Ameniambia hayamuhusu, yeye anachojua amepata alichohitaji.
Nimechanganyikiwa, Nasubiri akili itulie nifanye maamuzi
anza wewe kujiua,Cha muhim na rahis kwako ili kuepukana na aibu itakayo kuja kukukuta n bora tu ujiue bado mapema hata kabla mwaka haujaisha
![]()
Ndo akahonga hadi lile jengo opposite na NECTA?Sizonje alishayafanya ya mtoa mada kitambo sana.