Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,525
- 70,365
Ni manzi yako tu unahangaika na hayo yote ya nini? Achana nae fata mambo yako.
Ingekuwa mke sasa ungefantaje?
Ingekuwa mke sasa ungefantaje?
Dah....ndio maana wanaume wa mikoani mnazeeka na stress haraka,utakuta mtu anakaa na mwanamke,mzinzi,malaya,jeuri,kiburi.....eti mwanamke mpaka umfumanie ndio umuache! Na hata mkimfumania siku mbili mnamrudisha ndani!.....shenz*** ujinga akafanye kwa baba na mama yake**Wanaume wa mjini ni waduwanzi sana. How can you West your time exploring a person who is just a woman?!
Hahaha...Nikaamua nitafute mtego ili kuwe na kibuti ambacho hata yeye ataona sijamsingizia.
Nikaunda account fb kwa jina la jamaa na kujifanya Kama jamaa ,halafu nikamwadd kwa kutaanguliza Salam na kumwelezea kwamba ile account nimesahau password tuchat kwenye hii mpya . Wala hakujibu,gafla nikaddiwa kwa account nyingine yenye mrembo picha na jina tofuati ,akaniambia mi ndo flani ile account jamaa yangu anaweza kusoma msg tuwe huru huku. Kwa siku mbili nikiwa nimerudi kwenye mishe basi nikiingia chumbani yeye anabaki sebuleni kwamba anaangalia movie kumbe anachat na Mimi ,kifupi jamaa anamgonga sana , nimemwomba hadi picha za utupu katuma akidhani ni jamaa.Nimempanga tukutane chimbo kesho anipe utamu.Bila shaka nitatangulia lodge nione huyu mbuzi akijitokeza nampa kibuti bila kumsemesha
Hahahhaah Eti amekubuhu!Kilichonishtua zaidi kutuma picha ya utupu nikaona huyu amekubuhu kabisa,aisee Mungu ameniepusha na balaa
Hebu muelekeze huyu....Ni manzi yako tu unahangaika na hayo yote ya nini? Achana nae fata mambo yako.
Ingekuwa mke sasa ungefantaje?
we jamaa unapenda sana hiyo michezo hahaha yani huo ndo ushauri wako?mle tigo kwanza then kibuti kifuate
ndiyo dawa ya msalitiwe jamaa unapenda sana hiyo michezo hahaha yani huo ndo ushauri wako?
Tatizo Wana feli padogo Una takiwa na mwanamke cha Kwanza lazima ujue ni mwanamke wa aina gani kuna mwanamke wa kumla na kuacha na mwingine wakuwa nae kwenye mahusiano sasa awa wakujenga nao uchumba wapo wachache Sana.Kuna jamaa humu huwa anauliza "hao wanawake wa aina hiyo hivi huwa mnawatoa wapi