Nimemlipa kwa aliyonifanyia nimeridhika

Nimemlipa kwa aliyonifanyia nimeridhika

Jana nimetafuta canned pineapples pale Shoprite Mlimani City nimekosa.

Sijui Uchumi nitapata?

Natamani kweli.

Na sausages flani hivi za Kenya ambazo sio Vienna.

Njoo huku mwanza tunazo za kenya..tena kutoka wastgate mall na kericho.karibu
 
Please nielekeze Kariakoo duka lipi?

Sijaenda church mieee.

tatizo niko shallow kuelekeza mtu,naweza kujaza thread na usiwe umeelewa,ila kuna maduka fulani ya vyakula pale karibu na shimon,pia mcheki bakhressa kwenye maduka yao ya azam huwa na sausage aina tofauti tofauti,mie huzipenda za peramiho najiseviaga supermarket za jeshi.

Nilifikiri umeenda chach utupe neno la leo maana huu uzi majanga.
 
Kumbe hua unazipenda za peramoho? Saa hizi kilo moja 26 elfu yale makubwa yani hua ni balaa tupu



tatizo niko shallow kuelekeza mtu,naweza kujaza thread na usiwe umeelewa,ila kuna maduka fulani ya vyakula pale karibu na shimon,pia mcheki bakhressa kwenye maduka yao ya azam huwa na sausage aina tofauti tofauti,mie huzipenda za peramiho najiseviaga supermarket za jeshi.

Nilifikiri umeenda chach utupe neno la leo maana huu uzi majanga.
 
Hizo hizo farmers choice but not the long thin type precooked ones, no. Hizi ni nene fupi. Sio hizi Vienna zimejaa mtaani.

hizo chapa yake inaitwaje?
natamani nizitate maana mimi ni mlaji sana wa hizi
 
Jana nimetafuta canned pineapples pale Shoprite Mlimani City nimekosa.

Sijui Uchumi nitapata?

Natamani kweli.

Na sausages flani hivi za Kenya ambazo sio Vienna.

Hebu pita uchumi, uangalie mimi nimechoka na walinzi wao kupiga mizingo ....
 
tatizo niko shallow kuelekeza mtu,naweza kujaza thread na usiwe umeelewa,ila kuna maduka fulani ya vyakula pale karibu na shimon,pia mcheki bakhressa kwenye maduka yao ya azam huwa na sausage aina tofauti tofauti,mie huzipenda za peramiho najiseviaga supermarket za jeshi.

Nilifikiri umeenda chach utupe neno la leo maana huu uzi majanga.

Mpaka hapo atatia akili kidogo nime dilute uzi wake. Utter nonsense.

Thanks nitamwambia hubby aende Shimoni.

Be blessed.
 
Kiasi flan naungana na Arovera,kuna watu wanatutendea vibaya.kibaya zaidi sheria ziko hafifu sana na mambo ya mahusiano. Hata mim ningegfanya hivyo hivyo tena ningeanza na mamake.
Nimecheka sana kwa hii comment yako.
 
Hongera.
Hadithi yako inatufundisha nini?

Inatufundisha kwamba baadhi yetu sisi ni wajinga sana.

Kwani huyo mtoto wa rafiki yake na house girl wamemkosea nini? Ujue na wake huyo mlipizaji kisasi naye atafanyiwa hivyo hivyo ijapokuwa na mtu mwengine ili aone raha anayoiona sasa.
 
Kumbe hua unazipenda za peramoho? Saa hizi kilo moja 26 elfu yale makubwa yani hua ni balaa tupu

Umeona eeeeeeeeh?? Ni tamu jamani!!,nawe huwa unazipenda??

Thnx Karucee hapana chezeiyaa ww!!
 
Last edited by a moderator:
Hapa roho yangu nyeupeeeee kama theruju napiga mama na mwana na housegirl mwaka huu wangu kwa kweli daaaah

Duh pole sana kwa yaliyo kupata,Lakini unaweza dhani umemkomoa kumbe umejikomoa!!!!!
 
Back
Top Bottom