Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Hili swali inabidi nalo LIPATIWE MAJIBU PIA!
<br />Wewe huoni wadada wenzio wanavyoshadadia eti jamaa amsamehe…..na ukisoma ndani, nje, pamoja na katikati ya mstari utagundua kwamba hiyo kauli yangu ni kejeli (sarcasm).
<br />Ndio msamahe, tatizo ni mimba au? Kama ni udanganyifu hata wewe utakuwa umeufanya. Kwa hiyo samehe 2 jifanye mlipeana mimba via bluetooth......
<br />Jamani tuwe wakweli sawa alishindwa kuvumilia miaka 2 lakini mimba hapana haikubaliki,mi mjomba wangu ilimtokea hii baada ya kurudi maskini aliugua hajachukua hata mwezi akafariki yaani inauma saaana.
hapana.......kama ningekuwa mwanaume......basi ningekuwa na uanaume wa uongo kwa hili......haifai
Hahaha! baada ya kusoma hiki kisa nimeamua kurudi kabisaa nipokee jumamosi.<br />
<br />
halaf na wewe urudi huku la sivyo utanikuta na kitambi.
Hivi kweli nyie wote mnaosema amsamehe ingekuwa nyinyi ndiyo mmetendwa mngesamehe au ni rahisi tu kwenu kusema wengine wasamehe lakini yakiwatokea nyie itawawia vigumu?
Manake sielewi kabisa...mtu akuchiti hadi apachikwe mimba halafu eti umsamehe....hivi baada ya kumsamehe mtaishi maisha ya kama yalivyokuwa kabla ya hiyo mimba?
I'm not getting this samehe samehe bullshit.
<br />Hivi kweli nyie wote mnaosema amsamehe ingekuwa nyinyi ndiyo mmetendwa mngesamehe au ni rahisi tu kwenu kusema wengine wasamehe lakini yakiwatokea nyie itawawia vigumu?<br />
<br />
Manake sielewi kabisa...mtu akuchiti hadi apachikwe mimba halafu eti umsamehe....hivi baada ya kumsamehe mtaishi maisha ya kama yalivyokuwa kabla ya hiyo mimba?<br />
<br />
I'm not getting this samehe samehe bullshit.
<br />Hahaha! baada ya kusoma hiki kisa nimeamua kurudi kabisaa nipokee jumamosi.
<br />
<br />
inawezekana siku hyo hyo aliyokucheat ndio katundikwa. Ukisema mtu anakucheat hadi anapata mimba ni kama vile inachukua muda mrefu mimba kutungwa.
<br />Haijalishi...kuchiti mara moja au mara nyingi bado ni kuchiti tu. Kibaya zaidi ni mtu anachiti bila kutumia kinga. Hapo anajihatarishia maisha yake mwenyewe na pia ya huyo anayemchiti. <br />
<br />
Hebu fikiri mumeo anakuletea likaswende au li chlamydia. Wewe mtoto wa watu hujui hili wala lile siku unaenda kuoga unaona usaa unatoka kwenye kitumbua chako....lol....hivi utajisikiaje?