Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,655
- 6,423
- Thread starter
- #541
Nakutana na visanga tuu... Kutaliki ni kama Kuna tia mkosi Fulani hivi na vileMkuu vp bado hujaoa au ulirudiana na mke wako
Nakutana na visanga tuu... Kutaliki ni kama Kuna tia mkosi Fulani hivi na vileMkuu vp bado hujaoa au ulirudiana na mke wako
Pole sana nilikua nawaza nimuache mke wangu nawahurumia watoto kiukweli sipendi kuona wanandoa wanaachana lakin sasa hakuna namna utavumilia hadi liniNakutana na visanga tuu... Kutaliki ni kama Kuna tia mkosi Fulani hivi na vile
Ni vile mazoea na sijapata mwingine wa uhakikaYani mke aliekusaliti unammisije ? K zimejaa kila mahali! Ni mpumbavu ndio maana akamvulia chp yake me mwingine! Ni uchafu huo hastahili msamaha
Kama hujafikia hatua ya talaka vumilia tujitahidi kumnadilisha mkeoPole sana nilikua nawaza nimuache mke wangu nawahurumia watoto kiukweli sipendi kuona wanandoa wanaachana lakin sasa hakuna namna utavumilia hadi lini
Sasa kumnadilisha kivp mbona au typing error au kuna kitu umemaanishaKama hujafikia hatua ya talaka vumilia tujitahidi kumnadilisha mkeo
KumbadilishaSasa kumnadilisha kivp mbona au typing error au kuna kitu umemaanisha
Ok nitajitahidi ili hawa watoto wapate malezi ya wazazi wote ila nahuzunika sana nikiona ndoa inavunjikaKumbadilisha
Kama unaweza nicheki DM tushare vizuri ndugu yanguOk nitajitahidi ili hawa watoto wapate malezi ya wazazi wote ila nahuzunika sana nikiona ndoa inavunjika