Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,116
- 7,425
Unaambiwa usifanye maamuzi ukiwa na hasira au usiweke ahadi ukiwa na furaha sana...mnakwama wapi....ukiona una hasira sana kausha hasira zikiisha unarudi kwny common sense yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaambiwa usifanye maamuzi ukiwa na hasira au usiweke ahadi ukiwa na furaha sana...mnakwama wapi....ukiona una hasira sana kausha hasira zikiisha unarudi kwny common sense yako
Hahaha nigga kama umeachwa na kisa ni hiki mi naona sawa tu.Ameniacha mkuu...mi ndo nilikosea kumzaba makofi nilipomkamata anachat na mwanaume mwingine.
Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.
Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.
Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.
Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.
Si umesema namba yake ipo kichwani,jaribu kumpigia simu..kuna watu wanaachana miaka wakimissiana wanatafutana na wanaanza moja wewe miezi minne sio mingi.Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.
Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.
Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.
Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.
Shoga baba yako.Pumbavu, mwanaume anayegeuka nyuma ana vinasaba vya ushoga! Shoga ndo hugeuka nyuma! Songa mbele acha wehu
Haka ka Hajir sio kale kadada ka Kihaya ninakokajua pale Tandika Sudani kweli, anewei kama ndio hako aisee unahaki ya kuchanganyikiwa ni Katamu balaa!Ndo hvyo nakapenda sana haka kadada kakihaya.
Hapana nahic ni kale ka msasaniHaka ka Hajir sio kale kadada ka Kihaya ninakokajua pale Tandika Sudani kweli, anewei kama ndio hako aisee unahaki ya kuchanganyikiwa ni Katamu balaa!
Shoga baba yako.
Hi,Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
Pole boss wangu. Mie mwenye napata taabu kama yako toka Jo anipige cha mbavu sijaona mbadala wake, nilipo nimejibanza, ila ikatokea aakchika na mume wake wa sasa navuta jiko.. huwa napata taabu sana anapo nisalimia kwa whatsapp alafu profile picture yake kapiga yeye na mumewe huwa naumia sanaaa... natamani nifumbe macho nisione picha ila haina namnaaa
Huwa ni zile moments mnazokuwa pa1...outings...laughs...datings n.k...mkiachana moments turns into memories na apo tatizo ndo huwa linaanzia.
Yani wewe...acha hizo bas.Maumivu ya kuachwa ni makalii mnoo!
Hajir alishapona kidonda cha maumivu na wewe sasa ujifunze kuishi bila yeye sababu ilikuwa ndo lengo lako!
Mkuu shemela ndiye aliekupiga kibuti? kama hivyo ndivyo ndugu yangu itapata taabu sana....sijui ni nini sababu ya kuachana kwenu....lkn kama nisemavyo ni kweli....jitahadi kumsahau na tafuta mwanamke mwingine ambae utajizoesha taratibu maana yawezekani asikingie hakilini na moyoni kwa muda mfupi.Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.
Sema ukweli nilikuwa nampenda sana Hajir wangu. Tangu tuachane nimejaribu kuingia kwenye mahusiano mapya kama mara tatu hivi lakini wapi, sipati furaha kama niliyokuwa nayo nilipokuwa na Hajir.
Nakumbuka tulipoachana nilifuta namba yake ili nikate mawasiliano naye kabisa. Hili halikusaidia maana namba take imo kichwani mwangu.
Anyway, kama yumo humu naomba anisamehe kwa niliyomtendea anisamehe tuishi kama zamani. Niliyokufanyia ilikuwa ni hasira tu Hajir mpenzi wangu. Nakupenda sana.