Safi imekaa njema sana!!Yupo mbezi temboni ndio anaishi muziki nahisi umemshinda sasa hivi ni mc kwenye shughuli za harusi na send off
Dereva bodaboda pale kimara korogweMwenye tarifa zake babu ayubu jamani, hii sanaa ya bongo inapoteza watu jamani
Mbona nilimwona na bodaboda pale kijiweni kimara korogwe au ilikuwa ya shughuli zakeYupo mbezi temboni ndio anaishi muziki nahisi umemshinda sasa hivi ni mc kwenye shughuli za harusi na send off
Mwenye tarifa zake babu ayubu jamani, hii sanaa ya bongo inapoteza watu jamani
Anajishugulisha na nini kwa sasa uyu ndugu yetu, je ana familiaNi jirani yangu mitaa ya ukombozi
Hatari lakini salamaYupo mbezi temboni ndio anaishi muziki nahisi umemshinda sasa hivi ni mc kwenye shughuli za harusi na send off
Anajishugulisha na nini kwa sasa uyu ndugu yetu, je ana familia
mstari wa mwisho ndio umebeba kila kitu,nadhani mtoa mada ushaelewa sasa chanzo cha kupotea kwenye ramani ndugu yetu AyubuSiku amepita maeneo yetu sikumfahamu kama ni yeye
Jamaa wakaniambia ni babu Ayubu, yupo kama vijana wa mtaani tu Hana haiba ya usanii tena.
Watu wanadai anaimba taarabu na wengine wanasema ni mc ,sijawahi kumfuatilia sana
Ila ni mlevi aliyetukuka
Wahaya inabidi tumchangie ndugu yetu arudi nyumbani BukobaSiku amepita maeneo yetu sikumfahamu kama ni yeye
Jamaa wakaniambia ni babu Ayubu, yupo kama vijana wa mtaani tu Hana haiba ya usanii tena.
Watu wanadai anaimba taarabu na wengine wanasema ni mc ,sijawahi kumfuatilia sana
Ila ni mlevi aliyetukuka