Haujawah kusifia kitu hata ni cha maanauchafu tu.
swissme
Uchadema umekujaa xan bt sometimes tumia facts
Haujawah kusifia kitu hata ni cha maanauchafu tu.
swissme
Chakushangaza mijitu inafurahia maagizo ya kwenye media....tens MTU kama pasco.
Mwigulu Nchemba yeye ana blog yake kabisaChakushangaza mijitu inafurahia maagizo ya kwenye media....tens MTU kama pasco.
Kama ni sifa na Kazi inafanyika tatizo liko wapi..Angeweza litoa hilo agizo akiwa ofisini sio kwenye live TV kwenye tamasha...hivyo anaonekana anatafuta sifa tuu kwa kutumia media
Wewe hata Mamba mwenyewe unamjua alivyo? Zaidi ya kumuona kwenye Tv sidhani kama umewahi kumshuhudia Mamba majini.Unafiki mwingine bwana! Mamba kwenye maji yanayofika kiunoni hao mamba walitokea wapi?
cc waizi tu wa fikra za Watanzania na wazanzibar .Magufuli atauwa wengine sana kuliko Mkapa zanzibar.Haujawah kusifia kitu hata ni cha maana
Uchadema umekujaa xan bt sometimes tumia facts
Nimeisoma hii post nikiwa Ibadani nimecheka sana.Mkuu ni ugeni tuu humu jukwaani hatujuani, kwa kukusaidia tuu, mshahaa na marupurupu yote ya DC ndio pesa ninayolipia pango ntuu la nyumba ya NHC niliyoipangisha mjini kati!, nikijumlisha na mishahaa ya watu wangu, nawalipa ma DC 5!, hivyo huyo DC wa kumlipa Pasco wa jf, amlipe kwa pesa gani?!.
Japo kuna kauli everybody has a prrice, Pasco wa jf, has no price!, nini Makonda anilipe, hata Magufuli hawezi
kunilipa itakuwa Makonda?.
Pasco