Nimemiss kinywaji cha yeboyebo

Nimemiss kinywaji cha yeboyebo

babadullah

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2017
Posts
508
Reaction score
320
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kulikuwa na kinywaji kiitwacho yeboyebo

Nilikua mdogo kipindi kile sikueza kuwa na pesa za kununua, nilikua, naumia sana kuona watoto wa wenye uwezo wakinywa huu uji.

Kilichonivutia zaidi ni ile zawadi ya viatu vya wazi ambavyo watu waliviita YEBOYEBO na hii ndo ikapelekea,viwanda kuiga na kutengeneza open shouse na kuziita yeboyebo mnakumbuka wakuu
Now nimekua,

Nina pesa nahitaji nionje utamu wa kinywaji cha yeboyebo

Wapi nitapata hiki kinywaji?
 
umenikumbusha sana.Pale Mwanza tulikuwa tunanunua kwa sh.70/80 hivi.Form 1 miaka hiyo.
 
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kulikuwa na kinywaji kiitwacho yeboyebo

Nilikua mdogo kipindi kile sikueza kuwa na pesa za kununua, nilikua, naumia sana kuona watoto wa wenye uwezo wakinywa huu uji.

Kilichonivutia zaidi ni ile zawadi ya viatu vya wazi ambavyo watu waliviita YEBOYEBO na hii ndo ikapelekea,viwanda kuiga na kutengeneza open shouse na kuziita yeboyebo mnakumbuka wakuu
Now nimekua,

Nina pesa nahitaji nionje utamu wa kinywaji cha yeboyebo

Wapi nitapata hiki kinywaji?
Acha ushabiki mkuu, wewe lazima SSC. Yanga hawapiti hapa.
 
"....open shouse ">>>>> OPEN SHOES

Hicho kinywaji kilishapotea kulingana na ushindani wa viwanda na ubunifu wa bidhaa mpya
 
Back
Top Bottom