Nimemiss hadithi

Nimemiss hadithi

Ramtz Jr

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2026
Posts
259
Reaction score
499
Wakuu nimemiss hadithi balaa tangu sijajiunga JF nilikua nasoma hadithi nyingi ila sasa sioni hadithi hebu wakuu tafadhalini sana niwekee link uzi wa hadithi yoyo iwe ya kijasusi au ya mapenzi kutisha n.k niwekeeni nisome iwe mpya au ya zamani
No kejeli
 
𝐒𝐨𝐦𝐚 𝐬𝐢𝐦𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢 𝐳𝐚 UMUGHAKA 𝐧𝐢 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚
 
Wakuu wakuu nimess hadithi balaa tangu sijajiunga jf nilikua nasoma hadithi nyingi ila sasa sioni hadithi hebu wakuu tafadharini sana niwekee link uzi wa hadithi yoyo iwe ya kijasusu au ya mapenzi kutisha n.k niwekeeni nisome iwe mpya au ya zamani
No kejeli
Labda maisha ya sasa yanaitaji vitendo zaidi kuliko Ngonjera na hadithi
 
Wakuu wakuu nimess hadithi balaa tangu sijajiunga jf nilikua nasoma hadithi nyingi ila sasa sioni hadithi hebu wakuu tafadharini sana niwekee link uzi wa hadithi yoyo iwe ya kijasusu au ya mapenzi kutisha n.k niwekeeni nisome iwe mpya au ya zamani
No kejeli
Kwa sababu hautaki kejeli ila ningekusimulia hadithi za msaliti/Yuda na Bulicheka na Lisabeta.
 
Back
Top Bottom