Mr Bean
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 206
- 178
habari wadau,
leo asubuhi saa 3 wakati tukiwa nyumbani mie nlimwambia mke wangu kuwa nitaenda umtembelea rafiki yangu na hivyo nitarudi mchana kuja kula nyumbani.
nlipoenda kwa rafiki yangu nikamkuta hayupo, hivyo ikabidi nirejee nyumbani saa 5 asubuhi.
nlipofika nyumbani nkasema ngoja nimfanyie suprise mke wangu, nikafungua mlango kimya kimya na kuingia ndani.
nikawa na nyata nyata hadi chumbani, ila nikamkuta hayupo chumbani.
nika nyata nyata tena hadi sebuleni, napo pia nikamkuta hayupo.
nika nyata nyata tena hadi chooni, pia nikamkuta hayupo.
nikajua itakua yupo jikoni labda anapika,, nika nyata nyata hadi jikoni ndipo nlipomfumania akiwa anadokoa nyama kwenye mchuzi.
sisi nyumbani huwa tunakula nyama siku za holiday tu, imeniuma sana kwa kweli.
leo asubuhi saa 3 wakati tukiwa nyumbani mie nlimwambia mke wangu kuwa nitaenda umtembelea rafiki yangu na hivyo nitarudi mchana kuja kula nyumbani.
nlipoenda kwa rafiki yangu nikamkuta hayupo, hivyo ikabidi nirejee nyumbani saa 5 asubuhi.
nlipofika nyumbani nkasema ngoja nimfanyie suprise mke wangu, nikafungua mlango kimya kimya na kuingia ndani.
nikawa na nyata nyata hadi chumbani, ila nikamkuta hayupo chumbani.
nika nyata nyata tena hadi sebuleni, napo pia nikamkuta hayupo.
nika nyata nyata tena hadi chooni, pia nikamkuta hayupo.
nikajua itakua yupo jikoni labda anapika,, nika nyata nyata hadi jikoni ndipo nlipomfumania akiwa anadokoa nyama kwenye mchuzi.
sisi nyumbani huwa tunakula nyama siku za holiday tu, imeniuma sana kwa kweli.
