Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

St Lunatics

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
6,644
Reaction score
11,195
Nipo na huyu msichana wangu kwa miaka mitatu sasa tukiwa na maisha ya furaha na amani sana. Lakini hafla namuona ameanza kubadilika kitabia na maneno ya kiuongo uongo kila siku zikenda. Mimi na yeye hatufichani mambo yetu simu, email fungua za mjengo wangu pia anazo ila yeye anakaa kwao bado.

Kuona mabadiliko yamekuwa mengi ndio nikaanza kujiuliza kulikoni kwa huyu mwenzangu mpaka amebadilika hivi? Manake hata simu yake sikuhizi hataki iguswe. Na ikitokezea kuiguza huruka kama paka vile, nikaona acha niongee na shoga yake wa karibu. Huyu shoga yake ndio akanipa filamu yote kuwa kuna huyu mwalimu wa chuo anamsumbua sana kwa muda mrefu na amefikia kumpa kazi ngumu na kujaribu kumfelisha baadhi ya matokeo.

Huyu mwalimu amemuanza kumtaka zamani sana tu na alikuwa na msimamo wa kumkataa sasa kuona anacheza na kumharibia kwenye masomo yake. Ameanza kulegeza kamba juzi tulipanga weekend hii kutoka kwenda samaki samaki na movie alikubali jana amenitumia sms amesema hatoweza kuja.

Sijataka kumuuliza kwanini kwasababu hii sio kawaida yake ndio nikamtext best wake akaniambia kuwa amepanga na mwalimu wa chuo watoke na akanitajia wanapokwenda. Kwa kweli iliniuma sana kusikia vile lakini nikasema acha nihakikishe kama kweli, nikawapigia washkaji zangu simu na mjomba wangu huyu anakaa mitaa ya Temeke.

Kufika siku ya jana ndio tukaanza safari mimi, mjomba wangu na rafiki zangu watatu sote tukiwa 5 tukafika beach flani. Tukashuka na kuanza kumuangaza huku na huko baada ya kama dakika 15 tukamuona amekaa pembeni yeye na huyu mwalimu wa chuo, wao hawajatuona wamekaa wakiongea.

Rafiki yangu mmoja akasema twendeni palepale walipo na kumuuliza msichana wangu anafanya nini pale? Mjomba wangu akasema hapana tuzungukeni halafu tupite mbele yake na tuwasalimie tu.

Tukafanya kama alivyosema huyu mjomba wangu kuwafikia karibu huyu msichana wangu alituona na kunyanyuka na kunifata, Hawa washkaji zangu wakamfata yule mwalimu na kuanza kumshambulia huku mmoja wao akisema lete kilainishi tumgegede huyu ngese si anajifanya kidume yeye.

Tulimuacha yule mwalimu pale beach na majeraha na kuondoka na msichana wangu nikampeleka mpaka kwao. Sasa huyu msichana wangu ndio anafunguka na kunipa mwanzo mpaka mwisho tulipo wakuta kama hajafanya nae kitu. Na shoga wake amesibitisha kuwa kweli hajafanya kitu na huyo mwalimu bado na siku hio ilikuwa ndio mara yao ya mwanzo kutoka.

Demu wangu tokea jana mpaka sasahivi ananitumia sms za kuniomba radhi nimsamehe, lakini mimi nimemjibu text yangu fupi tu. Nakutakia mafanikio mema na maisha mema. Jee kaka zangu na dada zangu wa JF mnanipa ushauri gani juu ya hili jambo?
 
Ushauri wanini mkuuu wee mwamini tu dem wakoo usijekufa kwa preshaa...
Pia kunaa uzii huku jf unazungumzia ukitaka kufa mapema bass mchunguze dem wako nakushauri ukausome..
 
Nipo na huyu demu wangu kwa miaka mitatu sasa tukiwa na maisha ya furaha na amani sana. Lakini hafla namuona ameanza kubadilika kitabia na maneno ya kiuongo uongo kila siku zikenda. Mimi na yeye hatufichani mambo yetu simu,email fungua za mjengo wangu pia anazo ila yeye anakaa kwao bado. Kuona mabadiliko yamekuwa mengi ndio nikaanza kujiuliza kulikoni kwa huyu mwenzangu mpaka amebadilika hivi? manake hata simu yake sikuhizi hataki iguswe. Na ikitokezea kuiguza huruka kama paka vile, nikaona acha niongee na shoga yake wa karibu. Huyu shoga yake ndio akanipa filamu yote kuwa kuna huyu mwalimu wa Chuo anamsumbua sana kwa muda mrefu na amefikia kumpa kazi ngumu na kujaribu kumfelisha baadhi ya matokeo. Huyu mwalimu amemuanza kumtaka zamani sana tu na alikuwa na msimamo wa kumkataa sasa kuona anacheza na kumharibia kwenye masomo yake. Ameanza kuregeza kamba juzi tulipanga weekend hii kutoka kwenda samaki samaki na movie alikubali jana amenitumia sms amesema hatoweza kuja. Sijataka kumuuliza kwanini kwasababu hii sio kawaida yake ndio nikamtext best wake akaniambia kuwa amepanga na mwalimu wa chuo watoke na akanitajia wanapokwenda. Kwa kweli iliniuma sana kusikia vile lakini nikasema acha nihakikishe kama kweli, Nikawapigia washkaji zangu simu na mjomba wangu huyu anakaa mitaa ya Temeke. Kufika siku ya jana ndio tukaanza safari mimi,mjomba wangu na rafiki zangu watatu sote tukiwa 5 tukafika beach flani. Tukashuka na kuanza kumuangaza huku na huko baada ya kama dakika 15 tukamuona amekaa pembeni yeye na huyu mwalimu wa chuo, wao hawajatuona wamekaa wakiongea. Rafiki yangu mmoja akasema twendeni palepale walipo na kumuuliza demu wangu anafanya nini pale? Mjomba wangu akasema hapana tuzungukeni halafu tupite mbele yake na tuwasalimie tu. Tukafanya kama alivyosema huyu mjomba wangu kuwafikia karibu huyu demu wangu alituona na kunyanyuka na kunifata, Hawa washkaji zangu wakamfata yule mwalimu na kuanza kumshambulia huku mmoja wao akisema lete kilainishi tumgegede huyu ngese si anajifanya kidume yeye. Tulimuacha yule mwalimu pale beach na majaraha na kuondoka na demu wangu nikampeleka mpaka kwao. Sasa huyu demu wangu ndio anafunguka na kunipa mwanzo mpaka mwisho tulipo wakuta kama hajafanya nae kitu. Na shoga wake amesibitisha kuwa kweli hajafanya kitu na huyo mwalimu bado na siku hio ilikuwa ndio mara yao ya mwanzo kutoka. Demu wangu tokea jana mpaka sasahivi ananitumia sms za kuniomba radhi nimsamehe, lakini mimi nimemjibu text yangu fupi tu. Nakutakia mafanikio mema na maisha mema. Jee kaka zangu na dada zangu wa jf mnanipa ushauri gani juu ya hili jambo?


Mwombe samahan, she is great, nawatakia maisha mema
 
Kumtakia maisha mema ni maamuzi tosha. Demu bado unampenda na hapa unataka faraja kuwa umsamehe lakini jiulize swali moja tu, kama alikuwa na nia njema na uhusiano wenu kwanini asikushirikishe matatizo yake na huyo mwalimu at least mshauriane. Je kama usingejua kuwa alikuwa beach unadhani safari ilikuwa inaelekea wapi baada ya hapo baina yake na teacher kama sio kwenda kubanjuana? Mpaka kukubali kwake kuwasiliana na huyo mwalimu tayari kumeonyesha udhaifu wake na usaliti kwako, safari hii umepata kuhisi, ukafuatilia kupelekea kumkamata unadhani mkirudiana atakuwa mzembe tena umshike mara ya pili? Wanawake wengi kijana na Mungu hutuepusha na mabalaa kwa njia tofauti tofauti pasi wenyewe kujuwa, maumivu yako ya sasa ni bora kuliko machungu ya ndani ya ndoa pale atakapokusaliti akiwa mkeo.
Hapa sisi ni mashawishi tu kujifanya wajuaji, mjua ukweli ni wewe.
 
Nunua dumu la petrol,liweke chini ya kitanda.mwite demu aje gheto mgegede then funga mlango mjilipue mfe wote..hapo mtakuwa mmemkomoa Huyo ticha wake wa chuo coz nyie mtakuwa mekufa so atamkosa demu
mmhh ushauri huu wala siutaki
 
Ushauri wanini mkuuu wee mwamini tu dem wakoo usijekufa kwa preshaa...
Pia kunaa uzii huku jf unazungumzia ukitaka kufa mapema bass mchunguze dem wako nakushauri ukausome..
Sasa mkuu kama hatokuuwa kwa kumchunguza si atakuuwa kwa maradhi kama ukimwi au?
 
Back
Top Bottom