Mazee ume 'bahatika' mpaka kuwa na access ya internet lakini unachokonoa meno kwa pini?Pini imekwama kooni kwa wiki 2 nzima,na wala hushtuki na kwenda hospitali?
Sasa kama wewe ambaye naamini ni among 'the middle class' or even 'upper-middle' wa nchi hii,huoni umuhimu wa kuchukua hatua za haraka unapopatwa na tatizo la kiafya linaloweza kukusababishia tatizo kubwa zaidi baadaye,vipi kuhusu ndugu zetu wengi wanaoishi vijijini?Unataka koo livimbe,litengeneza usaha,lizibe na ushindwe hata kula,halafu uende ukamsumbue babu-loliondo?
Fanya hima uende hospitali bro!