Nimemchoka mpenzi wangu!

ndugu yangu...hiyo kwenye red ni madhara ya pombe tu hayo... tena ntatangaza kuacha veri suun.. naona inanizeesha tu, hadi kwenye zimekua kipilipili

lakini dah,.... hapa nilipo ka-view kako poa

Duh ina maana "Breweries" yao iko gado?? Maana kwa ya Tz wewe huwa unachakachua tu na bado huluzi "sight' kamanda lol.......haya mpenzi kalale sasa huku hali ishakuwa swari isipokuwa Mbeya nasikia kidooogo kunamushkeli.
 
Nimwambie nini Mwanajamii one??kwani mimi nimezaliwa kwa ajiri yake pekee??nawengine wanahitaji hii kitu hana hakimiliki!!
 
Nimwambie nini Mwanajamii one??kwani mimi nimezaliwa kwa ajiri yake pekee??nawengine wanahitaji hii kitu hana hakimiliki!!

KakaKiiza mbona tukiwaza namna hiyo kila mtu atatoa yake?? Hivi unafikiri yeye kukupenda ndo wengine hawamwoni, Hawamtokei au hawampendi?? Na yeye anauwezo wa kusema kuwa hakuzaliwa kwa ajili yako Kiiza na wengine wanamhitaji ati............ kama mwanamke mwenye haiba ya kike haiwezekani akapendwa na wewe tu na wengine wasimwone. Huwa tunalazimika ku'funga' milango pale tunapoamini kuwa tumeshapata kile tunachokitaka katika maisha yetu.

So ni vema usimzibie rizki yake (you gonna leave her anyway) so its better kumwacha mapema ukimweleza wazi kuwa you dont feel to commit to her right now.....ataumia, atalia but believe me atakuja kukuheshimu pale atakapokujagundua why you did that.teh fact that umenambia mapema na kwa uwazi kuwa you are not so into me.... nitakuheshimu daima.
 
KakaKiiza mbona tukiwaza namna hiyo kila mtu atatoa yake?? Hivi unafikiri yeye kukupenda ndo wengine hawamwoni, Hawamtokei au hawampendi?? Na yeye anauwezo wa kusema kuwa hakuzaliwa kwa ajili yako Kiiza na wengine wanamhitaji ati............ kama mwanamke mwenye haiba ya kike haiwezekani akapendwa na wewe tu na wengine wasimwone. Huwa tunalazimika ku'funga' milango pale tunapoamini kuwa tumeshapata kile tunachokitaka katika maisha yetu.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
So ni vema usimzibie rizki yake (you gonna leave her anyway) so its better kumwacha mapema ukimweleza wazi kuwa you dont feel to commit to her right now.....ataumia, atalia but believe me atakuja kukuheshimu pale atakapokujagundua why you did that.teh fact that umenambia mapema na kwa uwazi kuwa you are not so into me.... nitakuheshimu daima.
<br />
Mimi nampenda ila nimechoka tu ila nitamtoa out nakumwambia nje ya mazingira tunayoishi hata tulale hotelini nimwambie kwani wewe unaonaje tubreak ila fahamu sina mwingine ila nina matatizo yanayonifanya mapenzi nipumzishe ila tutakuwa wote kama dada na kaka kwani ninakuhitaji bado,najua atanielewa nanitakuwa naye closed kama kawaida hapo mwanzo.
 
<br />
Mimi nampenda ila nimechoka tu ila nitamtoa out nakumwambia nje ya mazingira tunayoishi hata tulale hotelini nimwambie "kwani wewe unaonaje tubreak ila fahamu sina mwingine ila nina matatizo yanayonifanya mapenzi nipumzishe ila tutakuwa wote kama dada na kaka kwani ninakuhitaji bado,"najua atanielewa nanitakuwa naye closed kama kawaida hapo mwanzo.

...dah, kwakweli umemchoka. Hata hivyo, nakushauri nawe uonane na dakitari bana, huenda kaugonjwa ka depression kanakunyemelea bila wewe kujitambua. Unaweza dhani tatizo ni huyo bi mrembo, kumbe nawe unakabiliwa na usongo wa mawazo. Ni vizuri kujipa break ila usisahau mapenzi ni sehemu ya maisha vile vile, huwezi kuya blackout kabisa.
 
Nimwambie nini Mwanajamii one??kwani mimi nimezaliwa kwa ajiri yake pekee??nawengine wanahitaji hii kitu hana hakimiliki!!

Utakuja kumpata mtu atakuumiza mara mbili ya hivyo unavyotaka kufanya kwa huyo atakutumia na kukuacha solemba utaanza kumkumbuka huyu unaemuacha sasa ukitaka kumrudia atakuwa ashapata mwingine na wanaishi kwa furaha zao na wewe utabakia na majuto maisha yako yote na utakuja kukumbuka haya maneno yangu.
 
<br />
Mimi nampenda ila nimechoka tu ila nitamtoa out nakumwambia nje ya mazingira tunayoishi hata tulale hotelini nimwambie kwani wewe unaonaje tubreak ila fahamu sina mwingine ila nina matatizo yanayonifanya mapenzi nipumzishe ila tutakuwa wote kama dada na kaka kwani ninakuhitaji bado,najua atanielewa nanitakuwa naye closed kama kawaida hapo mwanzo.

Wanaume mna tabia chafu sana kwa nini umchukue mtoto wa mwenzio umtumie na kumuacha? mbona wanawake wako wengi wanaopenda kutumiwa na kuachwa badala ya kuwafata hao mnawafata watu waliotulia na adabu zao na kuanza kuwadanganya then kuwashit, kama unajiona hauko tayari kuoa c bora ukatafute wale madada poa unagonga unakuwa umemalizana nae?
 
Pole sana,but ni vyema sana kama ukiwa wazi na kumweleza ukweli mapema ataumia sana ila atazoea baadae. Mi nakumbuka nilibreak na bf wangu akaniambia " nakuonea huruma sana,wataku hurt sana utanikumbuka" but coz i wa tired of him nikamove on. Bwana we nikampenda jamaa flan,nae alinipenda sana tatizo alikua kiwembe bila mi kujua. Nilipojua niliumia nikatamani kufa maana nilikuwa namwamini kuliko maelezo. Anyway jaribu kufijiria unaweza ukaona umesolve prob kumbe ndo unaongeza.

Gudluck.
 
Nimwambie nini Mwanajamii one??kwani mimi nimezaliwa kwa ajiri yake pekee??nawengine wanahitaji hii kitu hana hakimiliki!!

Leo hii wewe umekuwa na jeuri ya kuyasema hayo kwakuwa wamtendea mtu mwingine mambo hayo...Kumbuka maisha bado yanaendelea kama si wewe basi kizazi chako chaweza tendewa hayo hapo mbeleni. Binadamu umekosa huruma kabisa...Umempotezea mtoto wa watu mda wake na huenda amekuvumila vya kutosha juu ya tabia yako.

Baraka humkalia humkalia mwenye haki; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu (Mithali 10:6)
 
Sasa Kakakiiza kwa nini ukaweka base pasipo kuwa na uhakika kwanza kama ni infatuation au ndo penzi la kweli? Miezi hiyo ulitaja kaka yangu mpenzi nakiri kusema kuwa haikuwa muda wa kutosha kuweka base kama ulivyokuita mwenyewe....... nway kama hamjaihalalisha hiyo base ni vema mkawekana wazi kuwa mslow down kwanza ili kupeana nafasi ya kuzichunguza nafsi zenu. Yeye ndio atakiri amefika kule jua linakozama ambako msafiri hana budi kumaliza safari lakini mweleweshe kiutaratibu kwa sababu ni afadhali mkaumizana kipindi hiki ambacho bado hamjainvest sana feelings zenu ambazo ndo resources muhimu katika hili kuliko mkisubiri mmejikita na kuzama kabisa..maumivu yake si haba kaka.

Duh,itabidi nikutafute naona utanishauri vyema
 
Mimi nimekuwa na mpenzi wangu takribani mwaka na miezi mitatu sasa kwakusema ukweli ninahisi kumchoka yeye ndokwanza kumekucha sasa kumuacha kiolela na muonea huruma!!Na nilisha onywa nisiweke base mimi nikaona kuweka base ndo mpango sasa nifanyeje au ni mumwage yataisha?

Duuh, Kaka Kiiza umeniacha hoi....mwaka mmoja na nusu si ina maana kuna kitu ulikiona na kukipenda? Ungelijua kama zote zinafanana ingawa radha inaweza kuwa na tofaut ndogo ndogo ungelitulia maana unaweza kwenda kwa kimeo cha kufa mtu.
 
Umemchoka kivipi? kwani kakutukana? Nyie wanaume wengine,,mukipendwa sana basi upunguza upendo. Munataka madem vicheche, mapenzi ya misukosuko, heheh.

Nenda kamwambie umemchoka na hauwezi kuishi nae tena. Hila akipata mwingine usianze ohh sijui bado unampenda sijui ehh. haya, mkata pema pabaya panamwita
 
Aksante Mbu kaka yangu its only that I was forced to know more in this after a life experience. But I thank GOD and happy that I went through that...... It helped me grow stronger both spiritually as well as physically......... haya mambo bwana ukiyaanza ukiwa mtoto unakomazwa tu upende usipende, cha muhimu is how you raise from where you fall

Do............ do you offer counseling service, I could be your patient ............... :wink2:
 
KakaKiiza mbona tukiwaza namna hiyo kila mtu atatoa yake?? Hivi unafikiri yeye kukupenda ndo wengine hawamwoni, Hawamtokei au hawampendi?? Na yeye anauwezo wa kusema kuwa hakuzaliwa kwa ajili yako Kiiza na wengine wanamhitaji ati............ kama mwanamke mwenye haiba ya kike haiwezekani akapendwa na wewe tu na wengine wasimwone. Huwa tunalazimika ku'funga' milango pale tunapoamini kuwa tumeshapata kile tunachokitaka katika maisha yetu.

So ni vema usimzibie rizki yake (you gonna leave her anyway) so its better kumwacha mapema ukimweleza wazi kuwa you dont feel to commit to her right now.....ataumia, atalia but believe me atakuja kukuheshimu pale atakapokujagundua why you did that.teh fact that umenambia mapema na kwa uwazi kuwa you are not so into me.... nitakuheshimu daima.

Ni kweli tena ukiwa na mtu ndio unafuatwa kweli ........
 
Kakakiiza sidhani kama utamwacha hivi hivi ila subiri mpaka wakutafumie ndio utapata guts za kumwacha. Ikishindikana mlete kwa daktari tutamsaidia asipate dipression.
 
Back
Top Bottom