MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
ndugu yangu...hiyo kwenye red ni madhara ya pombe tu hayo... tena ntatangaza kuacha veri suun.. naona inanizeesha tu, hadi kwenye zimekua kipilipili
lakini dah,.... hapa nilipo ka-view kako poa
Duh ina maana "Breweries" yao iko gado?? Maana kwa ya Tz wewe huwa unachakachua tu na bado huluzi "sight' kamanda lol.......haya mpenzi kalale sasa huku hali ishakuwa swari isipokuwa Mbeya nasikia kidooogo kunamushkeli.